Ni kitu gani kinachoweza kumkasirisha Mtanzania?

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Wakuu turejee,

Tunajua kua Watanzania ni watu wapenda amani na ni watu wenye roho nzuri wa kutokupenda makuu.

Hata uhuru wetu tulipata kwa njia ya amani. Hatuna historia ya kua wakorofi. Tanzanians behaviour as a culture is totally all about humble and peace.

Tofauti na nchi jirani ambapo watu wako reactive sana kwenye issue yoyote inayogusa uchumi au siasa.

Je, ni kitu gani kinachomfanya Mtanzania anakua hivi, na ni faida gani tunapatabkwa kuwa na hii behavior. I hope ni tabia nzuri ila sijajua kama ina madhara au faida.
 
Wapandishie bundle utaona balaa lake.
Hata wakenya wakija tanzania huwa wanatushangaa. Eti kwanini Watanzania ni wapole sana. Kwa sababu hayo mambo jenya hayapo. Yani mkenya anapokuja tanzania. The way unavompokea ni tofauti na yy atakavokupokea huko kenya. Huwa wanashangaa sana.
 
. Hata wakenya wakija tanzania huwa wanatushangaa. Eti kwann watanzania ni wapole sana. Kwa sababu hayo mambo jenya hayapo. Yani mkenya anapokuja tanzania. The way unavompokea ni tofauti na yy atakavokupokea huko kenya. Huwa wanashangaa sana
Siai ni watu wa huruma na watu wa kukaribisha sana. Ila majirani zetu ni watu wa hasira sana. Ndo maana nauliza upole kama behavior una faida?
 
Upole kweli, watanzania walio wengi niwa pole na wapenda ucheshi na utani.

Lakini upumbavu wa walio wengi, tunapenda kutizama maisha ya watu wengine tuwaone wakikosea, teseka, umia, au hata kugombana.

Yani sie tunaona raha tu kuona mwengine anahangaika.
Very stupid mindset
 
Vitu vinavyowakasirisha watanzania

1. Kuambiwa ukweli (mara nyungi huwa mchungu)

2. Kunyimwa umbea(wafungie insta uone patakavyochimbika)

Etc
 
Back
Top Bottom