mtandao

  1. mashonga

    JamiiForums Tanzania Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU: Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge. ===== --- --- --- --- --- --- ===== WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI: --- ---...
  2. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kimeikumba WhatsApp?

    Habari! Kuna tatizo limeonekana kujitokeza la kutotuma wala kupokea jumbe zozote zile katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp hivi sasa ninapoandika uzi huu. Hili tatizo linatajwa kuwakumba watumiaji wa mtandao huu sehemu mbalimbali duniani na hata mimi kwa upande wangu nimelishuhudia tatizo...
  3. Craig

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa mtandao unaendelea kwa kasi, TCRA mpo wapi?

    Wezi wa kupitia mitandao wanaendelea kuibia watu kwa kutumia kila namna mitandao ya simu haitoi ushirikiano wa kutosha kwa wateja wao. TCRA nini maana ya kusajili laini kwa vidole na kitambulisho? Hawa wahalifu kwanini wasipewe adhabu iwe fundisho kwa wengine?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Anayefahamu +256785 ni code ya mtandao gani Uganda?

    Nahitaji kujua +256785 ni code ya mtandao gani nchini Uganda.
  5. Omerta

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Airtel ni wazushi

    ....................
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Jumia wafunga biashara yake nchini Tanzania

    Kampuni ya kuuza bidhaa mtandaoni JUMIA yenye branch zake mbalimbali Afrika leo tarehe 27/11/2019 imefunga ofisi zake ramsi, hata hivyo imebakisha kitengo kimoja kinachohusisha mauzo ya chakula pekee. Ukitoa ofisi za Tanzania pia wamefunga ofisi zao za nchini Cameroon, kwa madai kuwa ofisi hizi...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mfungwa aliyendelea kufanya utapeli wa mtandao akiwa gerezani

    Mfungwa aliyefanya udanganyifu katika mtandao, anafanyiwa uchunguzi nchini Nigeria kwa madai kusuka mpango wa kashfa kubwa ambayo itawagharimu walinzi wa gereza. Mfungwa huyo anadaiwa kuiba kiasi cha fedha cha dola milioni moja za Marekani. Maafisa wa kupambana na rushwa wanasema kuwa bwana...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Serikali ianzishe huduma ya "Hati mtandao" na "Hati mobile" kuondoa usumbufu kama ule wa watu kufuatila hati na kukuta hazijakamilika

    Kama wewe umewahi kununua ardhi/kiwanja na kufuatilia hati ya umiliki katika ofisi za kanda,basi unaweza kuwa ni mmoja wa watu waliokumbwa na adha ya kutoka mkoa mmoja na kwenda mkoa mwingine ambako kuna ofisi za kanda kufuatilia hati yako na kukumbana na kero ya aina hii. Moja ya matatzo au...
  9. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Leseni na huduma zote za BRELA kwa njia ya Mtandao

    Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bw. Emmanuel Kakwezi amesema kwamba, moja kati ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ni...
  10. Author

    JamiiForums Tanzania Mtandao upi uko Poa kwenye internet mikoani kati ya Vodacom na Tigo

    Habari Wana JF, Nataka kuwa B2B (Business to Business) customer kwenye moja ya mitandao niliyoitaja hapo juu ambapo nitakuwa nanunua kifurushi kila mwezi. Huwa natumia sana kwenye internet. Naomba kufahamu ni mtandao gani mzuri sana kwenye internet. Nipo Mbeya Natanguliza shukrani wadau
  11. Nuraty J

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Tigo ni kero

    Morning Kiukweli Tigo jamani wanakera sana, tarehe 31 October mzee amenunua kifurushi cha tsh 2500 kwa njia ya Tigo Pesa, cha ajabu hela wamekata kwenye Tigo Pesa yake na kifurushi hajapata mpaka hii leo, kila anapopiga simu wanamuambia tatizo linashughulikiwa, ni wiki sasa, japo ni hela ndogo...
  12. herzegovina

    JamiiForums Tanzania Mtandao, mtandao, mtandao. Je tumekabidhi maisha yetu kwa mtandao?

    1. Mshkaji wako amekukopesha pesa umrudishie baada ya wiki moja. Anakusisitizia kuwa hakikisha unamlipa kwa wakati kwa kuwa anataka kupeleka mtoto shule. Siku inafika, bahati mbaya unakuwa kwenye kikao kizito ofisini kwenu kinachochukua muda mrefu sana mpaka simu yako inazima. Jamaa kila akipiga...
  13. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Millard ayo huu ujinga utafukuza wapenzi wa mtandao wakooo

    nI MMOJA WA WAPENZI WA MTANDAO WA HUUYU MH LO NIMEONA NITOE YA MOYONI VIDEO NYINGI UKISEMA.UNAFUNGUA UNAKUTANA NA MATANGAZO YA WANAIMDHAMINI BADALA YA. VID HUSIKA HUU UJINGA AUFAI SIO KILA.MTU ANA BET WENGINR WANATAKA KUONA MATUKIO HIKI.NDICHO NIMEKUTANA NACHO BAADA YA KUAVLICK VID hATA...
  14. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutambua namba ya simu ni ya mtandao upi

    Nahitaji msaada. Hii kitu imekuwa inanisumbua kwa muda mrefu. Mtu unawezaje kutambua namba ya simu ni ya mtandao upi. Najua inahusiana na namba 3 za mwanzo. Mnaweza kuorodhesha namba zote na mitandao yake?
  15. F

    JamiiForums Tanzania Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

    Habari wadau, Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au? Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo. Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram? Maana nimeona mdau...
Back
Top Bottom