mtandao

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wizi wa mtandao: Akaunti za Twitter za Bill Gates na Elon Musk zadukuliwa, mamilioni ya dola yaibiwa

    Ni ndani tu ya saa moja lililopita, wadukuzi wamefanikiwa kuingilia faragha za akaunti za Twitter za Bill gates na Elon Musk na kutuma ujumbe ukiwataka watu watume kiasi cha pesa kwa njia ya bitcoin kisha, Watatumiwa mara mbili ya hiko kiasi. Mashambulizi yamekuwa makubwa maana kila Twitter...
  2. G Sam

    JamiiForums Tanzania Facebook wafuta uzushi wa askofu Josephat Gwajima kuhusu COVID 19 aliokuwa ameuandika kwenye ukurasa wake ndani ya mtandao huo

    Baada ya Askofu Josephat Gwajima kutuhumu kuwa huenda Tanzania ikatumiwa Corona virus kwa njia ya 5G kutoka kwa nchi mabeberu na kuuandika Facebook hatimaye uongozi wa mtandao huo wameufutilia mbali. Askofu mzima unakuwa mzushi mzushi hadi unaonekana kituko
  3. Wangari Maathai

    JamiiForums Tanzania Sim banking ya Equity kwa mtandao wa halotel hakuna

    Bank ya Equity haina option ya kutuma hela kwenda /kutoka bank kupitia mtandao wa Halotel...usumbufu Sana!. Wahusika angalieni Hili suala!
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa jinsi ya kupata followers laki 1 kwenye mtandao wa Twitter

    Habari wadau, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumiaji wa mtandao wa twitter toka mwaka 2015 lakini mpaka sasa nimefanikiwa kuwa na followers 500+. Kwa mujibu wa wadau, followers wa twitter ni hela kuna namna mbalimbali ya kuingiza pesa kwa kutumia mtandao wa twitter lakini...
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani inatarajia kufungia mtandao wa Tik Tok na mitandao mingine ya kichina

    Katika kile kinachoitwa kuishughulikia China kiuchumi, na kiteknolojia serikali ya Marekani inataka kufuata njia ya India kufungia mitandao yote ya kijamii kutoka China kama Tik Tok, likee na mingine. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo amesema wanafikiria kufanya hivyo hivi...
  6. funaku

    JamiiForums Tanzania Tabia ya wanaCCM mtandao waliokuwa wanakitishia Chama nyakati za uchaguzi imekoma!

    Wapo baadhi ya wanaccm waliokuwa wanajiona ni wanamtandao na wakiamua kuleta taharuki ndani ya chama katika ngazi mbalimbali hasa nyakati za uchaguzi. Zama hizo zimeshapita kwani CCM ilishaonesha Umma kuwa inaweza kumshughulikia mwanaCCM yoyote iwapo hatozingatia maadili ya Chama. Wapo baadhi...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Je, unayajua mamlaka ya Jeshi la Polisi kama yalivyoainishwa katika Sheria ya Makosa ya Mtandao (2015)

    1: Kifungu cha 31: Polisi au watekelezaji wa sheria wanaweza kutoa amri inayoruhusu kuingia, kupekua, au kutwaa vifaa na mifumo ya kompyuta, na kutwaa data au taarifa zilizohifadhiwa kwenye kompyuta Wanaweza kufanya hivyo iwapo watajiridhisha kwamba kuna sababu za msingi kuamini kwamba mfumo...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva, nina akaunti active Uber, Bolt nk

    ....
  9. Darren2019

    JamiiForums Tanzania Ukimiliki laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja utalipa faini Tsh 5M au kufungwa gerezani kwa miezi 12 au vyote kwa pamoja kuanzia 1 Julai, 2020

    Wakuu heshima kwenu, kuna wakati nlisikia kuna sheria TCRA inatulazimu kuwa na ulazima wa kumiliki line moja kwa kila mtandao na mwisho ni tareh 30 Juni, 2020, hii imekaaje? Tutafungiwa laini leo?
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reddit yachukua hatua kuzuia chuki za wanaotumia mtandao wake

    Mtandao wa Reddit, umefuta accounts zinazo msapoti Trump na sera za chuki, ubaguzi wa rangi, chuki dhidi ya wanawake na wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na wanaoeneza conspiracies mbalimbali Reddit wamesema kundi linaloitwa The_Donald limekuwa likivunja sheria siku zote == Reddit, one of the...
  11. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Wanaotumia Mtandao wa Halotel Basi Wana tabu siyo Internet wala Huduma kwa Wateja

    Nipo hapa nimeshajaribu kupiga huduma kwa Wateja lakini ninachokutana nacho, mtandao unasumbua Ata anayeongea humsikii, unaskiliza mikoromo tu mpaka masikio yanauma. Internet ndo kabisa Kwenye kudownload utakesha Inaenda slowly sana, Mida yake mpaka uivizie saa nne usiku Mpaka saa mbili humo...
  12. Yoyo Zhou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manunuzi ya mtandao yamekuwa msukumo mpya wa ukuaji wa Uchumi wa China

    Baada ya kudhibitiwa kwa kuenea kwa virusi vya Corona, uchumi wa China umeaanza kufufuka kwa kasi. Na manunuzi mtandaoni yamekuwa msukumo mpya wa ukuaji wa uchumi. Mjini Shanghai, takwimu zinaonyesha kuwa katika mwezi Mei, thamani ya manunuzi kupitia mtandao wa internet imefikia takriban Yuan...
  13. juvenile davis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Jamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana...
  14. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mtandao wakustream mpira live

    Kama ulivyosoma kichwa Cha habari naombeni mtandao mzuri ambao ausumbui Wala kukatakata wa kustream mpira mwenye kujua anisaidie.
  15. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lazaro Nyalandu kuzindua kampeni zake za urais kwa njia ya mtandao kesho Jumanne jijini Mwanza

    Mgombea urais mtarajiwa wa Chadema mh Lazaro Nyalandu kesho saa 11.00 jioni atazindua kampeni zake za kutafuta kuteuliwa na chama chake jijini Mwanza. Nyalandu ataendesha kampeni zake kwa njia ya kidigitali kwahiyo wanachadema wote mnaombwa ushirikiano wenu. Safari imeanza. Maendeleo hayana...
  16. mr mkiki

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

    Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming. 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)
  17. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla aitaka TCRA iufungie mtandao wa Twitter kwani kuna mambo machafu yanayoendelea huko

    Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini. Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe...
  18. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Madaraka Day: Kenya yasheherekea miaka 57 ya Utawala, maadhimisho yatarushwa kupitia mtandao kutokana na janga la Corona

    Rais Uhuru Kenyatta leo anaongoza Wakenya kusherehekea maadhimisho ya miaka 57 ya Sikukuu ya Madaraka (Madaraka Day), ambapo kwa mara ya kwanza yatafanyika kupitia mtandao. Kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa CoronaVirus, wageni wachache wamealikwa kushiriki hafla itakayofanyika Ikulu jijini...
  19. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pale unapotafuta mchumba kwa kutumia Video Conference na ukakataliwa na muhitaji baada ya kukuona

    Teknolojia imekua, na mambo mengi yanafanyika kutokana na ukuaji huo wa teknolojia ili kurahisisha mambo. Kwa upande wa uhusiano, unaweza kutafuta mchumba popote pale duniani na mkaonana kwa kutumia vifaa vya mawasiliano. Kumekuwa na wimbi la kutafuta wachumba kimtandao, na wakati mwingine...
  20. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Elimu kwa njia ya mtandao kwa wanafunzi wa Awali, Msingi na Sekondari. Je, Wizara ya Elimu inaitambua hiyo elimu?

    Niliwahi kuandika jamii forum kuhusu ili swala la kulipa ada na online education hili swala lipo hivi Tanzania kupitia wizara ya elimu haitambui elimu ya kujisomea nyumbani isipokuwa katika ngaz ya degree tuu hizo zingine chini haiwezekani hivyo mwanao akipata hyo elimu n kama tuition tuu mana...
Back
Top Bottom