mshindi

On May 28, 2016, a three-year-old boy climbed into a gorilla enclosure at the Cincinnati Zoo and Botanical Garden and was grabbed and dragged by Harambe, a 17-year-old western lowland gorilla. Fearing for the boy's life, a zoo worker shot and killed Harambe. The incident was recorded on video and received broad international coverage and commentary, including controversy over the choice to kill Harambe. A number of primatologists and conservationists wrote later that the zoo had no other choice under the circumstances, and that it highlighted the danger of zoo animals near humans and the need for better standards of care.

View More On Wikipedia.org
  1. Dunia Mwalukasa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wewe ni mshindi

    Wewe ni mshindi amka na Tumaini jipya Umaskini unaweza kukunyima vingi, lakini usikubali kujishushia thamani yako kwa sababu ya umaskini. Usione umechakaa, thamani yako iko palepale. Fanya kuiboost. Uchakavu wa noti hauondoi thamani yake. Kumbuka maskini ni tajiri asiyekuwa na pesa na utajiri...
  2. Jmushi91

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mshindi ni mimi na wewe leo

    Utajiri, pesa, umaarufu, vyeo, mamlaka, afya, chakula, mavazi, kazi, nyumba, magari, simu ya kisasa, unaweza kutaja mafanikio yoyote ambayo umepata. Hakika orodha haijaisha. Sasa nikuulize, ni mafanikio gani makubwa uliyoyapata maishani? Fikiria juu ya hili unapochimba chini kwenye hii...
  3. Mbaga Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

    Inasikitisha sana wakuu
  4. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi?

    Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi? Just for curiosity! Maana naona kqama hayo yamepitwa na wakati.
  5. Mu7

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Mshindi wa Urais Kenya kutangazwa saa 9:00 mchana

    Stay tuned
  6. Ghazwat

    JamiiForums Tanzania CEO Barbara: Tumepokea simu nyingi baada ya Tuzo ya goli bora la CAF, klabu kadhaa zikimuhitaji Sakho

    Klabu ya Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu wao (CEO) Barbara Gonzalez, amethibitisha kuwa hadi kufikia sasa wamepokea simu nyingi sana kutoka klabu kadhaa zikiwemo vigogo wa Afrika Wydad na Raja, zikimuhitaji nyota Pape Ousmane Sakho ambaye jana usiku alitwaa Tuzo ya goli bora la CAF 2022...
  7. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Miss Nigeria 1957 akionesha zawadi yake ya mshindi wa kwanza

  8. TECNO Tanzania

    JamiiForums Tanzania Tecno imekabidhi zawadi ya milioni 5 za kitanzania kwa mshindi wa promosheni ya spark 8c

    Kampuni ya simu ya TECNO imehitimisha rasmi promosheni ya simu ya SPARK 8C baada ya kukabidhi zawadi ya milioni 5 pesa taslimu za kitanzania kwa mshindi anayefahamika kwa jina la Mohammed Khatibu. Meneja mauzo TECNO...
  9. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Fundi Magari ashinda kitita cha Tsh. bilioni 1.2 sport pesa jackpot

    Leo imetusuliwa ngoja tusubiri maelezo zaidi
  10. britanicca

    JamiiForums Tanzania Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

    Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti, Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu 1. Mpaka sasa week Jana natoka...
  11. bernard10

    JamiiForums Tanzania Nani kati ya Marais wa Tanzania angeibuka kidedea/mshindi kwa vigezo hivi?

    Tanzania ni moja Kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zimeshafanikiwa kuwa na awamu tofauti tofauti za uongozi wa ngazi ya juu kabisa(URAISI) na ni miongoni mwa nchi chache kabisa ambazo hazijawahi kuwa na matukio makubwa yaumwagaji damu, vita vya wenyewe kwa wenyew na mapinduzi ya kijeshi...
  12. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Abdurazak Gurnah Mshindi wa Tuzo ya Nobel afunguka, alipokuwa akiongea na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein

    MAJADILIANO mengi kuhusu tuzo aliyopata Mzanzibari aishie majuu Prof. Abdurazak yamejitokeza kwa wingi kwenye mabalaza ya mitandao ya kijamii ikiwepo la huyo jamaa si mtanzania bali Mzanzibari na watanganyika hawapaswi kumpa pongezi ili hali hizi ni nchi moja. Mapema leo Rais wa Zanzibar na...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Makundi kufuzu Kombe la Dunia yakoje?

    Habari, Nauliza group iliyopo timu yetu ya Tanzania mshindi atakayeongoza ndiye anaenda kombe la Dunia moja kwa moja? Au kuna mchakato mwingine baada ya hapo? (DR Congo, Madagascar Benin na Tanzania) Kama ndiyo yalivyo hivyo naona kama kuna kabahati hivi kwenye group letu au jinsi group...
  14. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Makamu wa kwanza Zanzibar amekiuka kumpongeza mshindi wa urais Zambia. Zanzibar sio dola huru mbele ya uso wa kimataifa

    Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa. Kwenye katiba ya JMT, mambo ya nje ni suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano. Kitendo cha...
  15. mkulima gwakikolo

    JamiiForums Tanzania Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

    Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia! ====== Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe: Lissu ni Mshindi

    TUNDU LISU NI MSHINDI Na, Robert Heriel Moja ya sifa ya Mtumishi wa Mungu ni kumshuhudia Mungu kwa Matendo makuu aliyoyafanya. Tumezoea watumishi wa Mungu tuendapo kwenye nyumba za ibada wakituhadithia simulizi za kwenye misahafu kwa habari ya mambo yaliyopita miaka ya kale. Wote...
  17. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi awa Katibu Mkuu UVCCM

    Ni Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia. ==== Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania VITA: Kazi Vs Pesa! Nani ataibuka mshindi?

    VITA VYA KAZI DHIDI YA PESA. KAZI Vs PESA Kwa Mkono wa Robert Heriel Kazi ni shughuli aifanyayo mwanadamu au kiumbe kujipatia mahitaji yake. Kama vile kilimo, ufugaji, udereva, ualimu, udaktari, ufundi nguo, uchongaji, uongozi, uchungaji, usheikhe, uhakimu, uandishi wa habari miongoni mwa...
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kupingana na mazuri aliyoyafanya hayati Magufuli ni kupingana na nguvu ya umma, huko mbeleni tutaona nani mshindi

    Hata alipokuwa hai hayati JPM kama bunge lingesema limkatae kwa kutumia ibara ya 46 ya katiba ya JMT na kumuondoa madarakani wananchi wangesimama na hayati JPM. Hili halina ubishi. Kwa hiyo kama wanachi wangesimama na JPM basi ni wazi kuwa angeshinda. Na bunge lingeonekana kituko. Maana...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Mama malizia sasa kwa Kuzicheza vyema Kete zako Mbili za Draft za Oysterbay na Posta uwe Mshindi rasmi

    Nakuaminia sana Mama kwa jinsi unavyojua Kucheza vyema Mchezo wako wa Draft. Jana umesukuma Kete Moja nzuri sana nikakubali kuwa Draft unalijua na umeiva nalo. Sasa Mama bado Kete zako Mbili tu uzicheze vyema ili uibuke Mshindi wa Draft. Hiyo Kete Pinzani ya hapo Oysterbay iwahi na imalzie na...
Back
Top Bottom