bernard10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 410
- 731
Tanzania ni moja Kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zimeshafanikiwa kuwa na awamu tofauti tofauti za uongozi wa ngazi ya juu kabisa(URAISI) na ni miongoni mwa nchi chache kabisa ambazo hazijawahi kuwa na matukio makubwa yaumwagaji damu, vita vya wenyewe kwa wenyew na mapinduzi ya kijeshi yaani (COUPS)kama zilivyo nchi nyingi barani Afrika.
Sasa katika awamu zote tukimtoa Nyerere kiongozi wetu wa awamu ya Kwanza (mwanamapinduzi na baba wa taifa) na Mwinyi Ally Hassan ambaye wengi wetu kizazi hiki hatukumshuhudia Sana (either tulikuwa wadogo au hatukuwa tumezaliwa bado).
Je, ni nani Kati ya hawa wote wanne 4 waliobakia ikatokea (ingawa haiwezekani) yaani.1. Mkapa Benjamini 2. Kikwete J.k 3. Magufuli J.P.M au 4.Samia S.S.
ANGEIBUKA KIDEDEA/MSHINDI KAMA WANGESHINDANA KATIKA UCHAGUZI(FREE AND FAIRLY) kwakuzingatia.
1. Vitu walivyofanyia jamii zetu (Watanzania)kwa ujumla (legacy)
2. Ushawishi wao katika nyanja zote kisiasa kiuchumi kijamii n.k
3. Uwajibikaji wao kwa vitendo n.b (siyo porojo.)
4. Kukubalika kwao. (Hapa ni jinsi wanachi kwa ujumla walivyowachukulia, kuwapenda na kuwakubali.
5. Utu wao(utani au ucheshi, huruma, kujitolea n.k.
6. Misimamo Yao (nb. kiongozi ni misimamo.
7. Ubunifu wao kwaujumla (kwa mfano katika kuiletea nchi maendeleo, kusuruhisha matatizo ya wananchi au viongozi ushawishi n.k
8. Uvumilivu (kiongozi lazima awe na uvumilivu katika mambo yote.
9. Ushirikiano chanya yaani wenye afya katika maslai ya nchi na A. viongozi wengine ndani na nje, B. wanachi.
KWA VIGEZO HIVYO NA VINGINE KAMA VIPO JE NI NANI ANGEIBUKA KIDEDEA/MSHINDI WETU KATIKA UCHAGUZI MKUU(e.g 2025)?
Sasa katika awamu zote tukimtoa Nyerere kiongozi wetu wa awamu ya Kwanza (mwanamapinduzi na baba wa taifa) na Mwinyi Ally Hassan ambaye wengi wetu kizazi hiki hatukumshuhudia Sana (either tulikuwa wadogo au hatukuwa tumezaliwa bado).
Je, ni nani Kati ya hawa wote wanne 4 waliobakia ikatokea (ingawa haiwezekani) yaani.1. Mkapa Benjamini 2. Kikwete J.k 3. Magufuli J.P.M au 4.Samia S.S.
ANGEIBUKA KIDEDEA/MSHINDI KAMA WANGESHINDANA KATIKA UCHAGUZI(FREE AND FAIRLY) kwakuzingatia.
1. Vitu walivyofanyia jamii zetu (Watanzania)kwa ujumla (legacy)
2. Ushawishi wao katika nyanja zote kisiasa kiuchumi kijamii n.k
3. Uwajibikaji wao kwa vitendo n.b (siyo porojo.)
4. Kukubalika kwao. (Hapa ni jinsi wanachi kwa ujumla walivyowachukulia, kuwapenda na kuwakubali.
5. Utu wao(utani au ucheshi, huruma, kujitolea n.k.
6. Misimamo Yao (nb. kiongozi ni misimamo.
7. Ubunifu wao kwaujumla (kwa mfano katika kuiletea nchi maendeleo, kusuruhisha matatizo ya wananchi au viongozi ushawishi n.k
8. Uvumilivu (kiongozi lazima awe na uvumilivu katika mambo yote.
9. Ushirikiano chanya yaani wenye afya katika maslai ya nchi na A. viongozi wengine ndani na nje, B. wanachi.
KWA VIGEZO HIVYO NA VINGINE KAMA VIPO JE NI NANI ANGEIBUKA KIDEDEA/MSHINDI WETU KATIKA UCHAGUZI MKUU(e.g 2025)?