msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bob Manson

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata connection nje ya Tanzania? Msaada kwa anayefahamu

    Wadau, sina mengi zaidi ya kusema kwamba naona kabisa Maisha yangu hapa Tanzania yanaelekea pabaya, nadhani suluhisho pekee ni kwenda mbali kama sio nje ya Tanzania basi mbali kabisa na mji wa dar es salaam. Kama kuna wadau wowote wanafahamu au wana uwezo wa kunisaidia kutimiza hilo naomba...
  2. Elsa Marie

    JamiiForums Tanzania Nimempikia shemeji yenu njegere ngumu haziivi, msaada tafadhali

    Ipo hivi. Hizi njegere nimezibandika kuchemsha tangu saa 6 na nusu hadi saa 8 kamili, ni ngumu hazilainiki. Huyu shemeji yenu hapendi njegere ngumu, sikuwa na jinsi nimeunga hivyo hivyo nikamtengea ale, nipo mahali nimekaa nasubiri bomu lilipuke maana najua atafoka hadi kesho. Msaada tafadhali...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mzee wangu kaingia katika dhamana ya nyumba kwa makubaliano ya 10% – Hali ya deni la mkopo la Mteja Inavyomsumbua"

    Habari zenu wakubwa, Naomba ushauri na msaada mzee wangu alimdhamin mtu hasa akaweka dhamana ya nyumba yake kisa alirubunia atapewa 10%...huyo mtu alienda bank kwaajili ya kupewa mkopo bank wakamwambia hatuwezi kukupa Hela bila dhamana ya nyumba yule mteja ndo wakamkutanisha mzee kupitia...
  4. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ofisi inayohusika na jambo hili

    Wakuu kuna mama ana binti mgonjwa ameshindwa gharama ya operation ni kubwa sana, Anauliza ni Ofisi gani aende na vithibitisho vyake, pamoja na barua yake wamgongee muhuri au wampe barua yenye muhuli apite mtaani aombe michango kwa wasamalia wema, sababu hajui utaratibu na hataki kuomba omba...
  5. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta wana jamii swali la hesabu

    Can you prove that 4+2=5+1 is true without solving both sides? Explain.
  6. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa software

    Wakuu naomba msaada wa software ya Nitro pro Na APK ya WPS premium Ahsante
  7. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Msaada Laptop inagoma kuwaka

    Wakuu habar Naomba msaada laptop aina ya hp inaandika Boot device not found. Inaishia hapo kwenye maandishi
  8. Lavan Island

    JamiiForums Tanzania Nataka kusafiri kwenda Eritrea kwa njia ya basi au treni je mnawezaje kufika? Naomba msaada kwa ana fahamu

    Nataka kusafiri kwenda Eritrea kwa njia ya basi au treni je mnawezaje kufika? Naomba msaada kwa ana fahamu
  9. iPhone 6

    JamiiForums Tanzania MSAADA WAKUBWA

    Habari zenu wakubwa zangu, Nanyenyekea sana nikiamini JF uwa hakuna tatizo linalokosa msaada. Wakubwa nahitaji msaada wenu ni kwamba kuna company flani kubwa tu staki kuitaja ila department niliyokua nafanyia kazi ni Huduma kwa wateja nilikua nafanya kama customer service representative kitengo...
  10. jerryempire

    JamiiForums Tanzania Msaada Toyota rush inanipasua kichwa

    Habari. Jamani msaada kwenye tuta Nina Toyota rush toka alhamis inaniletea ugonjwa pasua kichwa mno. Ukiitembelea bila kuwasha ac unaweza kutembea hata siku nzima isisumbue gear box ina change fresh kabisa,lakini ukiwasha tu ac ndani ya dakika 5 au 10 basi over drive ina blink kwenye dashboard...
  11. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu ametapeliwa kiwanja anaomba msaada afanyaje

    Huyu jamaa alinunua kiwanja mwaka 2005 kiwanja kilikua kimepimwa Kwa maelezo yake wakati ananunua muuzaji alitoa mawe ya namba za kiwanja kimya kimya ndio zkamuuzia mwaka 2018 jamaa akajenga nyumba kubwa ya vyumba vitano Sasa wiki iliyopita yule jamaa aliemuuzia kuyumba kiuchumi akamgeuka...
  12. KingPower

    JamiiForums Tanzania Naombeni Msaada wenu, Nimekamatika kiuchumi.

    Wakuu Habarini,! Nielekee moja kwa moja kwenye Mada Hakika Mficha Maradhi Kifo humuumbua, Maisha yanaweza kupinduka in a flash of second, Jamani nisikieni Nina Huzuni na Moyo unalia Sana, Naomba Msaada wenu napitia kipindi kigumu kupita maelezo nimekwama, Nina shida ya Ajira/Kazi ya kujikimu...
  13. Swahib Sinjo

    JamiiForums Tanzania Watoto wangu hawasikii hata ukiwachapa fimbo. Naombe ushauri wa viadhabu vidogo vidogo mbali na fimbo

    Habari za majukumu, Ninakaa na watoto watatu wa kuamzia miaka 8 mpaka 19, watoto hawa yaani ni awasikii kiasi kwamba hata chumba chao tu wanacholala kutandika au kufanya usafi ni mpaka uwasimamie, huko bafuni waakooga ndo usiseme ukiingia tu unakaribishwa na harufu kali mpaka vigae...
  14. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Msaada wa matumizi ya dawa hizi

    Hizi dawa zinafaa kula ukiwa unaumwa na kichwa?madoctor karibuni
  15. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Azampesa vs Selcom Pesa. Msaada tafadhali.

    Salamu wadau, kwema? Nilikuwa nataka kujua hizo huduma hapo juu, Kwa anayetumia. Yupi yup ahead zaidi ya mwenzie? Wapi Kuna makato nafuu? Nasoma komenti
  16. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Msaada Kwenye Whats App

    Habari wakubwa WhatsApp ya ndugu yangu imekuw Blocked msaada tafadhali kama inavyoonesha hapa chini
  17. Poluyakhtov

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu tatizo la sonona

    Habari za asubuhi wana JF, Kama kichwa cha thread kinavyojieleza, kuna ndugu yangu wa kiume mwenye umri wa miaka 30. Yeye ni mhitimu wa chuo kikuu miaka 5 iliyopita, alisomea Bachelor of Human Resources Management. Alipohitimu tu;akabahatika kufanya kazi ya muda kwenye ofisi moja ya shirika la...
  18. S

    JamiiForums Tanzania King'amuzi cha Azam tv

    Habar za jioni,nimepata changamoto king'amuzi kinaniambia "hakuna kituo" Msaada kwa anaejua tafadhali
  19. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Msaada nina maswali haya juu ya DRC na jeshi lake

    1. Kwanini kuna vikundi viiingi vidogovidogo vya majeshi ndani ya DRC? FARDC, FDLR, ADC, Wazalendo... 2. Wale maaskari wana mafunzo ya kijeshi au ni raia wa kawaida tu wanapewa magwanda ya kijeshi wavae? 3. Wanawapataje maaskari viongozi kama majenerali, kanali (wao wanaita Koloneli)?-je wana...
  20. THE BEEKEEPER

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu demu wangu kaondoka na nguo zangu za ndani tu?

    Habari Nimetoka chuo mda huu nimefika geto, nina kawaida ya kwenda kuoga kwanza. Nimetoka kuoga naona Nguo zangu za ndani zote hazipo nampigia demu simu kaniblock nipo confusion msaada
Back
Top Bottom