Nina shahada ya Sheria 2020/2021 naomba msaada nipate ajira/kujitolea

Jimmy04

Member
Nov 16, 2020
16
11
Habari ndugu zangu.

Mimi ni muhitimu wa Shahada ya Sheria kutoka Chuo kikuu kimoja hapa Tanzania mwaka 2020/2021.

Nipo mtaani kwa sasa lakini hari imekuwa ngumu sana kwani sijapata sehemu ya kujitolea au ajira ila nipate kulipa baadhi ya bills zinazonikabili.

Nimekuja kwenu ndugu zangu nikiamini mnaweza nisaidia ajira/kujitolea na mimi niweze songesha gurudumu la maisha.

Nipo tayari kufanya kazi harali ambayo sijasomea ili mradi nifundishwe namna ya kuifanya vema kwani ninaweza fundishika kwa haraka, Pia nikipata Lawfirm kwa upande wa Sheria nitashukuru sana.

Ujuzi wangu
Kutumia Computer
Kuongea Kingereza/Kiswahili
Uandishi wa habari (sijasomea)

Kwa heshima na taadhima ninaomba msaada wenu wana JF

Shukrani
0787460347
Nipo Dar es salaam
 
1) I really hate hili jina "demu" kuwa na adabu kidogo.
2) unamaanisha wadada pekee ndiyo wanaopata kazi? Hiyo tofauti ni kwanini? Ushawahi kuomba kazi humu hukupata sababu ya jinsia??
Whether you hate it or not, hating it has nothing to do with it's inexistence.

Anyway aendelee kuomba kazi, maana atapata kama wewe ulivyopata.
 
Whether you hate it or not, hating it has nothing to do with it's inexistence.

Anyway aendelee kuomba kazi, maana atapata kama wewe ulivyopata.
Ok it has nothing to do but atleast now you know it's not a good name for calling someone. Next time you'll be careful.

Kupata anaweza akapata kama mimi ama zaidi, au asipate but si kwa sababu ya jinsia bali ni uwepo wa hizo nafasi na ujuzi wake.

Good evening.
 
Habari ndugu zangu.

Mimi ni muhitimu wa Shahada ya Sheria kutoka Chuo kikuu kimoja hapa Tanzania mwaka 2020/2021.

Nipo mtaani kwa sasa lakini hari imekuwa ngumu sana kwani sijapata sehemu ya kujitolea au ajira ila nipate kulipa baadhi ya bills zinazonikabili.

Nimekuja kwenu ndugu zangu nikiamini mnaweza nisaidia ajira/kujitolea na mimi niweze songesha gurudumu la maisha.

Nipo tayari kufanya kazi harali ambayo sijasomea ili mradi nifundishwe namna ya kuifanya vema kwani ninaweza fundishika kwa haraka, Pia nikipata Lawfirm kwa upande wa Sheria nitashukuru sana.

Ujuzi wangu
Kutumia Computer
Kuongea Kingereza/Kiswahili
Uandishi wa habari (sijasomea)

Kwa heshima na taadhima ninaomba msaada wenu wana JF

Shukrani
Nipo Dar es salaam
Hari na hali, mwanasheria, unaelewa ni vitu viwili tofauti? Can, you please, beyond reasonable doubt, tueleze unamaanisha ipi? Umeshapoteza kesi tayari. Duh, kazi ipo.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Jaribu LSF niliwahi kusikia wanatoa nafasi za Legal advisors kwenye mikoa mbali mbali, sijui kama bado wanafanya hayo mambo.
Screenshot_20201118-140831_Drive.jpg
 
Back
Top Bottom