Matibabu ya anal fissure (msaada)

Matibabu ya anal fissure (msaada)

MAKOLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
620
Reaction score
282
Nasumbuliwa na tatizo linalojulikana kama ANAL FISSURE, Naomba wataalam mniambie tiba yake tafadhali
 
Pole kwa changamoto mkuu....

Humu kuna madocta wa kila aina !

Pengine ungeleeza tatzo lina muda gani, na ulishachukua hatua gani mpaka ulipofikia !!!!



Again Pole sana
 
Sasa MAKOLE una google dalili zako unaletewa aina ya ugonjwa unakuja kutafuta tiba JF kwa kina Mzizi Mkavu kweli?

Nenda hospital bana ufanyiwe diagnosis, upimwe, utibiwe humu tutakupigia makelele tu
 
Mkuu unakunya vitu vizito na vigumu nini? Any way hiyo sio big issue nenda hospital chap
 
1000434395.jpg
 
Hospital waliyokuambia una hilo tatizo waendelee na matibabu au kama ni hospital ya level za chini,nenda za ngazi za juu mkuu
 
Back
Top Bottom