Msaada wa kisheria. Nilivamiwa, nikajeruhi

Msaada wa kisheria. Nilivamiwa, nikajeruhi

M12

Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
63
Reaction score
30
Nilivamiwa na watu wawili wakanikaba nikatumia kitu chenye ncha kali kumjerui mmoja, niliwahi polisi kutoa taarifa ya kuvamiwa, siku ya pili naambiwa kesi imegeuka upande wangu kwa sababu aliyenivamia ndiye aliyeumia sana, kesi sahivi ipo mahakamani, nafanyaje kutoka kwenye hii kesi.
 
Weka taarifa kamili,
Ulivamiwa wapi? Kwa sababu gani?
Kesi lazima ikugeukie kwa maelezo ya namna hii, watu wengi sana wanapoteza haki zao sababu hawajui kujieleza, hawajui ni wakat gani wa kunyamaza na kujibu hoja..hakikisha unamfundisha vyema hili somo mwanao
 
Weka taarifa kamili,
Ulivamiwa wapi? Kwa sababu gani?
Kesi lazima ikugeukie kwa maelezo ya namna hii, watu wengi sana wanapoteza haki zao sababu hawajui kujieleza, hawajui ni wakat gani wa kunyamaza na kujibu hoja..hakikisha unamfundisha vyema hili somo mwanao
Kiufupi ni hivi nilivamiwa njiani kwa sababu nadaiwa na microfinance Moja ambayo mahakama tayari iliamuru nilipe deni Hilo mwezi 6 lakini kabda ya huo mwezi kufika nilikutana na mmoja wa hiyo microfinance akawapigia simu wenzake mawili wakaja eneo ambao nipo, wakataka kunipora funguo ya pikpiki yangu ili waondoke na pikipiki yangu, baada ya kuwakatalia kuwapa funguo ndipo wawili wakaniangusha chini mmoja akanikaba shingo wakati mwingine ananipiga ndipo nilipotoa kitu cha ncha kali na kumjerui yule aliyenikaba shingo ili aliachie, baada ya kumkata akaniachia na damu zikaanza kumtoka, wakaondoka na pikipiki yangu, ndipo na mimi nikapata wazo la kuwahi kituo Cha polisi kutoa taarifa hiyo.
 
Kiufupi ni hivi nilivamiwa njiani kwa sababu nadaiwa na microfinance Moja ambayo mahakama tayari iliamuru nilipe deni Hilo mwezi 6 lakini kabda ya huo mwezi kufika nilikutana na mmoja wa hiyo microfinance akawapigia simu wenzake mawili wakaja eneo ambao nipo, wakataka kunipora funguo ya pikpiki yangu ili waondoke na pikipiki yangu, baada ya kuwakatalia kuwapa funguo ndipo wawili wakaniangusha chini mmoja akanikaba shingo wakati mwingine ananipiga ndipo nilipotoa kitu cha ncha kali na kumjerui yule aliyenikaba shingo ili aliachie, baada ya kumkata akaniachia na damu zikaanza kumtoka, wakaondoka na pikipiki yangu, ndipo na mimi nikapata wazo la kuwahi kituo Cha polisi kutoa taarifa hiyo.
Dawa ya deni ni kulipa, walipe na kwanini unatembea na vitu vya ncha kali?
 
Kiufupi ni hivi nilivamiwa njiani kwa sababu nadaiwa na microfinance Moja ambayo mahakama tayari iliamuru nilipe deni Hilo mwezi 6 lakini kabda ya huo mwezi kufika nilikutana na mmoja wa hiyo microfinance akawapigia simu wenzake mawili wakaja eneo ambao nipo, wakataka kunipora funguo ya pikpiki yangu ili waondoke na pikipiki yangu, baada ya kuwakatalia kuwapa funguo ndipo wawili wakaniangusha chini mmoja akanikaba shingo wakati mwingine ananipiga ndipo nilipotoa kitu cha ncha kali na kumjerui yule aliyenikaba shingo ili aliachie, baada ya kumkata akaniachia na damu zikaanza kumtoka, wakaondoka na pikipiki yangu, ndipo na mimi nikapata wazo la kuwahi kituo Cha polisi kutoa taarifa hiyo.
Hapo ulitakiwa ufungue kesi ya wizi na kuvamiwa
 
Kiufupi ni hivi nilivamiwa njiani kwa sababu nadaiwa na microfinance Moja ambayo mahakama tayari iliamuru nilipe deni Hilo mwezi 6 lakini kabda ya huo mwezi kufika nilikutana na mmoja wa hiyo microfinance akawapigia simu wenzake mawili wakaja eneo ambao nipo, wakataka kunipora funguo ya pikpiki yangu ili waondoke na pikipiki yangu, baada ya kuwakatalia kuwapa funguo ndipo wawili wakaniangusha chini mmoja akanikaba shingo wakati mwingine ananipiga ndipo nilipotoa kitu cha ncha kali na kumjerui yule aliyenikaba shingo ili aliachie, baada ya kumkata akaniachia na damu zikaanza kumtoka, wakaondoka na pikipiki yangu, ndipo na mimi nikapata wazo la kuwahi kituo Cha polisi kutoa taarifa hiyo.
Kama Microfinance wanaruhusiwa kudai madeni kwa njia hiyo hapo kesi unayo.
 
Mkuu hao jamaa watakuwa wsmetoa kitu kidogo kwa mamlaka ili wewe uwe ndiyo mshtakiwa badala ya mshtaki.
Salama yako ni kutafuta wakili,vinginevyo unaweza fungwa na faini juu.
 
Hapo kuna dalili ya rushwa maana hivi vyombo vyetu haviaminiki kabisa, una haki ya kujilinda na hata ungewaua bado ni haki yako.

Ikumbukwe "Nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo, tunapoambiwa kwamba tumetumia nguvu kubwa sana kwenye tukio lile, nguvu ndogo ilikuwa ipi?"
 
  • Thanks
Reactions: M12
Back
Top Bottom