Mwaka 1968, Jeshi la Korea Kaskazini (KPA), liliunda kikosi maalum cha makomando 31. Kikosi hicho kilipewa jina Kikosi 124 (Unit 124).
Makomando hao walipewa mafunzo maalum ya kutekeleza oparesheni ya kumuua aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Park Chung-hee.
Oparesheni hiyo ilipangwa kutekelezwa...