Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nilisoma kwenye Raia mwema kuwa baada ya uhuru kulikuwa na mpango wa kuunda shirikisho la Africa. Ilitokea tofauti kubwa ya mawazo ya jinsi ya kuanza umoja huo.
Kwame wa Ghana alitaka shirikisho lianze mara moja. Nyerere akasema hapana, tuanzishe kwanza mashirikisho ya kikanda na yakikua na kukomaa ndiyo tuanze kuungana pamoja kufikia muungano wa Africa.
Njia ya Nyerere ikaonekana kuungwa mkono. Mwandishi anasema leo zaidi ya nusu karne umoja wa Afrika bado uko mbali sana, na yale mashirikisho ya kikanda yamekufa.
Je, Nyerere alukuwa sahihi kwa mawazo yake kuhusu umoja wa Africa?
Kwame wa Ghana alitaka shirikisho lianze mara moja. Nyerere akasema hapana, tuanzishe kwanza mashirikisho ya kikanda na yakikua na kukomaa ndiyo tuanze kuungana pamoja kufikia muungano wa Africa.
Njia ya Nyerere ikaonekana kuungwa mkono. Mwandishi anasema leo zaidi ya nusu karne umoja wa Afrika bado uko mbali sana, na yale mashirikisho ya kikanda yamekufa.
Je, Nyerere alukuwa sahihi kwa mawazo yake kuhusu umoja wa Africa?