Nakubaliana na Rais Magufuli. Hakuna haraka yoyote ya kuunda Baraza la Mawaziri. Prof. Kabudi na Dkt. Mpango wanatosha kwa sasa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,957
Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa.

Maswala ya ulinzi na usalama wa ndani yaendelee kusimamiwa na CDF Mabeyo na IGP Sirro wanaoripoti moja kwa moja kwa Amiri jeshi mkuu.

Mambo muhimu ya Fedha na Uchumi na yale ya mahusiano ya kimataifa tayari Mawaziri Dr Mpango na Prof Kabudi wameshaapishwa.

Nina hakika kwa 98% baada ya miezi 3 hadi 6 Rais Magufuli akiamua kuunda baraza la Mawaziri basi litakuwa dogo kama ilivyo kwenye rasimu ya Tume ya Warioba ya katiba mpya.

Tunaweza kuwa na mawaziri na manaibu waziri wasiozidi 20 kwa ujumla wao.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kabudi katia fora,kajikuta kasema "mheshimiwa Mungu",akajishtukia na kurekebisha na kusema mheshimiwa Rais!
Nidhamu ikipitiliza inakuwa uoga na si nidhamu tena!

Nways,baraza la mawaziri ni muhimu liwahi kupatikana haraka iwezekanavyo!Tatizo Rais hawaamini watu wanaomsaidia kufanya vetting!
 
Kabudi katia fora, kajikuta kasema "mheshimiwa Mungu",akajishtukia na kurekebisha na kusema mheshimiwa Rais! Nidhamu ikipitiliza inakuwa uoga na si nidhamu tena!

Nways,baraza la mawaziri ni muhimu liwahi kupatikana haraka iwezekanavyo!Tatizo Rais hawaamini watu wanaomsaidia kufanya vetting!
Bwashee ulimi hauna mfupa!
 
Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa.

Maswala ya ulinzi na usalama wa ndani yaendelee kusimamiwa na CDF Mabeyo na IGP Sirro wanaoripoti moja kwa moja kwa Amiri jeshi mkuu...

Wale wabunge waliojiandaa watakuroga wewe
 
Alichelewa kuvunja Baraza la mawaziri kwa hiyo atachelewa kuliunda, hii inaitwa 'offsetting'
Kabudi katia fora,kajikuta kasema "mheshimiwa Mungu",akajishtukia na kurekebisha na kusema mheshimiwa Rais!
Nidhamu ikipitiliza inakuwa uoga na si nidhamu tena!

Nways,baraza la mawaziri ni muhimu liwahi kupatikana haraka iwezekanavyo!Tatizo Rais hawaamini watu wanaomsaidia kufanya vetting!
 
Kabudi katia fora,kajikuta kasema "mheshimiwa Mungu",akajishtukia na kurekebisha na kusema mheshimiwa Rais!
Nidhamu ikipitiliza inakuwa uoga na si nidhamu tena!

Nways,baraza la mawaziri ni muhimu liwahi kupatikana haraka iwezekanavyo!Tatizo Rais hawaamini watu wanaomsaidia kufanya vetting!
Muheshimiwa mungu😂😂😂😂
 
Nakubaliana kabisa na Rais Magufuli kwamba kwa sasa wizara zisimamiwe na makatibu wakuu chini ya usimamizi wa Waziri mkuu mh Majaliwa...
Kuna kitu usichokubaliana naye? Naona unajichanganya tu mara rasimu ya Warioba na mliitupa kapuni, mara baraza litakuwa dogo <20, mara baada ya miezi 3-6. Wewe na mzee wako jiwe wote mmekutana akili moja.
 
Back
Top Bottom