Habari Tanzania !.
Nawaomba watanzania wenzangu tuamue kwa pamoja kuwa katika Sheria zetu hasa upande wa Jinai; tuondoe vifungo vya zaidi ya miaka 20 pamoja na kufuta kifungo cha maisha jela au kunyongwa mpaka kufa.
Uhalisia ni kuwa; hakuna aliyemkamilifu isipokuwa ni Mungu pekee. Ikumbukwe...
Tanzania haitakuwa moja mpaka katiba mpya tena nzuri.
Katiba ikiwa na hawa machawa na mafisadi tutakuwa palepale. Inatakiwa katiba itengenezwe kwanza na wataalamu kwa kuzingatia kaya na uchumi wa taifa ndiyo wapewe wanasiasa. Hawa brain zero wabunge na machawa hakuna kitu hapa tutapata madudu...
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ambwene Yesaya (A.Y), ameeleza mtazamo wake kuhusu mjadala wa “mdundo wa taifa” katika mahojiano na kituo cha redio cha East Africa Radio, Aprili 10, 2026 akisisitiza kuwa muziki hauwezi kulazimishwa kuwa na mwelekeo mmoja bali hujijenga na kukua kiasili.
AY...
Tangu mwaka jana jukwaa hili lilizuiwa kwa muda wa siku 90 na TCRA.
Tulipitia wakati mgumu sana kwa sababu hili jukwaa lina manufaa mengi sana hasa kwa ustawi wa taifa letu.
Ni kupitia jukwaa hili ambapo wananchi huwasilisha kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Ni kupitia jukwaa hili...
Nimekua nikileta kero ya DAWASCO hapa mitaa ya Kimara Suka kutokupata Maji sawa wiki hii sijapost kabisa na hawajafungua. Sasa hawa jamaa watakuwa wanafanya haya mpaka LINI ? Kimara imewakosea?
Pia soma ~ DAWASSA: Kimara Stop Over wameanza kupata maji baada ya maboresho ya miundombinu
🚗⚡ KWANINI ABIRIA WAKO WAKOSE CHARGE?
Usikubali abiria wako wabaki bila charge safari nzima!
Jipatie Car Fast Charger inayoweza kucharge hadi simu 6 kwa wakati mmoja 🔥
🔌 Type-C + USB (Fast Charging)
📏 Cable ndefu – inafika hadi siti za nyuma
💡 LED ya kisasa inayovutia
👨👩👧👦 Inafaa kwa dereva...
Forget.
Kifupi ni kwamba,
Sikuwahi kuamini kwamba mtu anaweza akaku-follow then next day anakuonyeshea kidole cha kukusonta na kukusontea anakupiga masingi tena kwa issue ya kijinga kijinga kaabisa how comes?
Kifupi ni kwamba,
JF tupo watu wa dizaini nyingi, watu wenye mawazo chanya na hasi...
Dkt. Ayub Rioba Chacha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC) anasema kwa namna ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo anapenda kusikiliza Mawazo na maoni ya watu wengine inadhihirisha wazi kiwango chake cha Demokrasia
Ni ngumu sana kumsikiliza Samia kwa dakika 20-30 bila kutoa boko kwenye hotuba zake
Ni ngumu kumsikiliza bila kuchukia
Na ni ngumu sana amalize kuhutubia bila kuja kutetewa au maneno yake kutolewa ufafanuzi na watu wengine.
Kiukweli Watanganyika tumeula wa chuya awamu hii.
"Nichukue fursa hii kuwaonya wale vibaraka, kuna Wakenya fulani, vibaraka wa Wakenya wale walaji wa malungi, walaji wa muguka. Sisi ni watu na heshima zetu, nchi ina heshima. Hiki kitu kinanishangaza sana. Wakenya wana siasa zao za kihuni, hizi siasa za kihuni za Kenya. Haiwezekani mtu...
“Kuna siku nishamkuta dada angu kainamishwa na msela akiwekewa mpini ile kitu sijawahi kuheal mpaka leo bahati nzuri ndo kamuoa kubabeki siendagi kwao kabisa 😂👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦”
Oyaaah acha kabisa, wenye dada....
Mwenyekiti wa Umoja wa Wasafirishaji Mwanza, Yusuph Lupilya akizungumza katika mkutano wa wadau wa usafirishaji uliondaliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), amesema kuwa serikali ilipandisha bei ya mafuta ikiwa imetoka kutuambia kuwa kuna mafuta ya kutosha kwa miezi mitatu.
Nimeona taarifa kwamba marekani anasafisha mafuta ya Venezuela. Pia Rais wa USA amesema atachukua mafuta ya Iran. Kilichosaidia Iran kwamba anajeshi imara ndio kazuia.
Kwahivyo, nashauri tusichimbe mafuta mpaka tuwe na jeshi imara. Vyenginevyo wanaharakati watatuuza kwa wapenda vya watu
Bologonja ni mpaka au geti linalounganisha hifadhi ya taifa ya Serengeti na Maasai Mara Kenya. Geti hili linawezesha mgeni kutoka Kenya Maasai Mara kuingia Serengeti kufanya game drive na kurudi Kenya kupitia mpaka huu.
Mwalimu Nyerere kwa kutumia akili kubwa na busara ya kizalendo kwa maslahi...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni lazma kama Taifa Tujijengee Heshima ,utaratibu ,nidhamu ,adabu ya maneno na kauli za kuzungumza Hadharani. Siyo mtu anajitokea zake huko anaanza kuropoka ropoka Bila Breki vitu Hovyo hovyo bila ushahidi wala vielelezo vya aina yoyote ile ilimradi tu Ameona kamera...
Wana jf hamjambo?, hapa katikat iliibuka dini mpya ya wakrislam, nipendekeze mjumbe wake awe IPM
Nanauka hujambo? Nliwah kutaman uwe na uwezo flani hiv na maono ngazinya wizara kama waziri sio ngaz ya misemo kama motiveshen spika-mvizia hela za semina. Nilitaman kuona vision na ajenda zenye...
Huyu mtu ni mashine
Anao uwezo wa kuwa waziri wa wizara hata tatu. Napendekeza apewe wizara ya madini, apewe mali asili na wizara ya fedha azichakate fedha vizuri.
Kwa uwezo wake mkubwa kabisa wa hali ya juu anaweza hata kuwa Waziri na Katibu Mkuu kwa wakati mmoja.
#Chapa watanganyika fimbo...
Unahisi Hii Hali ya Bei za Mafuta Kupanda Inaweza Kudumu Mpaka Lini? Na nini Kifanyike Ili Kujinasua na Kupanda Kwa Bei Za Mafuta?
Kupanda kwa bei za mafuta kunaathiri maisha ya kila siku na uchumi kwa ujumla. Ili kujinasua na hali hii, yafuatayo yanaweza kufanyika:
1. Kujenga viwanda vya...
Hakuna haja ya kuwachukulia sheria mkononi au hakuna haja ya kuwapeleka mbele ya sheria
Hawa wanafaa kusimangwa
Hawa wanafaa kusemwa
Hawa wanafaa kusutwa
Kule kwetu ukiikosea hatukupeleki kwa balozi wala kwa sungusungu
Tunaalika kigoma
Tunaalika tarumbeta
Tunashona sare ya vijora
Tunakufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.