Mpaka sasa taifa lina mpasuko mkubwa sababu WanaCCM mtandao wamegeuza keki ya taifa kuea mali yao na kesi ya Lissu imeongeza chuki dhidi ya watawala

Mpaka sasa taifa lina mpasuko mkubwa sababu WanaCCM mtandao wamegeuza keki ya taifa kuea mali yao na kesi ya Lissu imeongeza chuki dhidi ya watawala

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,461
Reaction score
9,470
Hakuna mtanzania anaefurahia huu utawala kwa amani. Wengi wanafurahia kwa shingo upande na unafiki.

Angalia hata hao wanaCCM makabwela ambao hudanganywa kwa baiskeli na tisheti safari hii hawautaki huu utawala wa CCM.

Kesi ya Lissu inazidi kuligawa taifa sababu kila mtanganyika mwenye akili timamu anajua kabisa amewekwa ndani bila kosa lolote.

Mahakama inatambua hilo na ndio maana ilikataa hata kielelezo ambacho wao serikali walitegemea kitakuwa na mashiko.

Ufisadi na nepotism ni tatizo kubwa kwenye taifa lolote.
 
Usitusemee ..jisemee mwenyewe..
Mimi binafsi huu ndo utawala naoupenda kuliko tawala zote...
Nampenda sana samia
 
Usitusemee ..jisemee mwenyewe..
Mimi binafsi huu ndo utawala naoupenda kuliko tawala zote...
Nampenda sana samia
Kama unakula kwa urefu wa kamba yako utakuwa sahihi kwa sasa! Ila atakapotoka madarakani, haitashangaza na wewe ukija humu jukwaani kumlalamikia mtawala mpya, baada ya mirija yako ya ulaji kukatwa!
 
Hakuna mtanzania anaefurahia huu utawala kwa amani. Wengi wanafurahia kwa shingo upande na unafiki.

Angalia hata hao wanaCCM makabwela ambao hudanganywa kwa baiskeli na tisheti safari hii hawautaki huu utawala wa CCM.

Kesi ya Lissu inazidi kuligawa taifa sababu kila mtanganyika mwenye akili timamu anajua kabisa amewekwa ndani bila kosa lolote.

Mahakama inatambua hilo na ndio maana ilikataa hata kielelezo ambacho wao serikali walitegemea kitakuwa na mashiko.

Ufisadi na nepotism ni tatizo kubwa kwenye taifa lolote.
Watavuna walichopanda
 
Hakuna mtanzania anaefurahia huu utawala kwa amani. Wengi wanafurahia kwa shingo upande na unafiki.

Angalia hata hao wanaCCM makabwela ambao hudanganywa kwa baiskeli na tisheti safari hii hawautaki huu utawala wa CCM.

Kesi ya Lissu inazidi kuligawa taifa sababu kila mtanganyika mwenye akili timamu anajua kabisa amewekwa ndani bila kosa lolote.

Mahakama inatambua hilo na ndio maana ilikataa hata kielelezo ambacho wao serikali walitegemea kitakuwa na mashiko.

Ufisadi na nepotism ni tatizo kubwa kwenye taifa lolote.
nonsense 🐒
 
Kama unakula kwa urefu wa kamba yako utakuwa sahihi kwa sasa! Ila atakapotoka madarakani, haitashangaza na wewe ukija humu jukwaani kumlalamikia mtawala mpya, baada ya mirija yako ya ulaji kukatwa!
Ishu kubwa sio mirija ya ulaji. Wananchi wanataka haki, wanapinga ufisadi na nepotism.
 
Ishu kubwa sio mirija ya ulaji. Wananchi wanataka haki, wanapinga ufisadi na nepotism.
Yaani haya maneno yenu mwisho ni 2030..akija rais mgalatia mtapotea wote na hizo ID zenu feki..hakutakua tena na mambo ya haki Wala nepotism..bali nikuunga mkono TU..
Save my comment
 
Back
Top Bottom