Huu mwaka nilipigika hasa. Mpaka nikaanza kuwa natumia Decoder ya Azam

Huu mwaka nilipigika hasa. Mpaka nikaanza kuwa natumia Decoder ya Azam

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,439
Reaction score
3,199
Acheni kabisa nlishindwa kuwa nalipia DSTV Explorer. Nikajikuta nami naanza kuangalia king'amuzi cha Azam.

Jambo hilo nlisema halitatokea tena. Nikapata kazi nikaanzisha na biashara. Mwaka huu natumia DSTV EXPLORER sitaki tena Uswahili swahili.

Ile decoder nliiipasua pasua since then na dish lake kugeuza karai. Sitaki kumbuka hizo nyakati. 2020/21 ulikuwa mwaka wa shetani.
 
sema kishwahili nikigumu mno hata mimi kuna mda huwa nachanganya herufi ila sio "huu mwaka nilipigika" kwahiyo haujui kutofautisha wakati uliopo, uliopita na ujao?

usikute na wew huwa unawasaidia watoto kufanya "home work"
 
Acheni kabisa nlishindwa kuwa nalipia DSTV Explorer. Nikajikuta nami naanza kuangalia king'amuzi cha Azam.

Jambo hilo nlisema halitatokea tena. Nikapata kazi nikaanzisha na biashara. Mwaka huu natumia DSTV EXPLORER sitaki tena Uswahili swahili.

Ile decoder nliiipasua pasua sinze then na dish lake kugeuza karai. Sitaki kumbuka hizo nyakati.

taja channel 4 tu zinazokufanya ulipie DSTV EXPLORER, usikute umemsikia shemeji yako akiongea asubuhi ukiwa bado umejifunika shuka kwenye kochi
 
Back
Top Bottom