Wanaoshangilia siku 100 za rais Samia madarakani wasishangilie sana.
Wasishangilie sana kwa sababu kwanza kinachotajwa kuwa ni mafanikio kwa hakika ni sehemu ya utekelezaji wa mambo ambayo serikali inaoaswa kuyatekeleza.
Unashangiliaje kuwa hivi sasa watu wanapewa maiti bila kudaiwa bili...
kuna ile mwanzo wa mapenzi atukatai mwanamke kachukua vichenji vyako kadhaa
Asa je umeshawahi kupindua meza unamnyandua mwanamke mpaka anaanza kukuhonga wewe hela?
Hamjambo wote!
1. Kwenye mambo ya Intelligence(ujasusi, ushushushu, unjangu) kuna kitu inaitwa Missing System/s.
2. Kitu hii ukikosa hata MTU binafsi mambo yako yanakuwa hatarini, usalama wako unakuwa mashakani.
3. Missing System ni uwepo wa ombwe la kimkakati, mfumo muhimu ambao unapaswa...
I hope uko poa mdau wa jamiiforms,Baadhi ya Viongozi waliobalikiwa akili nyingi za kiutambuzi wamekua wakitusanua sana sisi watanzania juu ya mambo mbalimbali .
Mfano ukifuatilia ziara za Viongozi wanatoa kauli kama "Amka Kuna watu wanalionea wivu Taifa letu sababu ya utajiri " "Watanzania...
Russian gold reserves break record
The country’s bullion holdings were valued at $402.7 billion as of early February
The value of Russia’s gold reserves has reached an all-time high, exceeding the $400 billion mark, according to statistics released by the country’s central bank on Friday...
CHECK OUT THIS SIMPLE AND COMPACT
SEBULE KUBWA NZURI ,DINNING ,OPEN KITCHEN ,1SELF BEDROOM,1SINGLE BEDROOM ,AND MASTER BEDROOM WITH CLOSET ,PUBLIC TOILET
CALL US +255624004650
Sijisifii... Nasikitika tu kuwa nimekuwa na tabia mbaya sana. Nimetembea na zaidi ya wanawake 150. Hao ni ambao nimewakumbuka. Nimeona maumbile ya aina tofaut tofaut.
Kuna ambao ni flat, kuna yalitotutumka, kuna yenye lips nene, kuna yenye mishavu dodo, kuna yaliyonyambuka nyambuka, kuna kavu...
Mwabukusi sijakuelewa. Unataka viongozi wasiongelee yaliyotokea Oktoba 29?
Au ninyi mumeelewa vipi?
Kutoneshana kunatoka wapi?
Watu wameuliwa majumbani kwao sababu tu watu wasalie madarakani.
Kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook likiwa na ujumbe wenye nukuu inayosema “ Jesca Magufuli sina amani nawindwa mpaka Nyumbani”je ni upi ukweli wa chapisho hili
Jeshi limejaa damu za watanzania kuna vibaka, wezi, wauwaji, wala rushwa na watekaji mpaka maiti.
Vitendo hivi vilivyoonekana wazi ndani ya jeshi havikubariki na nikinyume cha sheria na haki za binadamu ni ushenzi na upumbavu na wahusika wanajijua, wanajua kwa matendo yao baadae wataona uchungu...
Ukienda kila kwenye account ya social media ya vichwa wa CHADEMA wanajifanya kuchambua athari za nchi kuuza dhahabu.
Ukiwauliza maswali madogo madogo tu hawana majibu.
. Hawajui Tanzania tuna reserve ya dhahabu kiasi gani.
.Hawajui malengo ya Tanzania kuhifadhi dhahabu ni yapi.
.Hawajui kuwa...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza
Naomba leo tujikumbushe kidogo adhabu tulizowahi kupewa mpaka ukatamani Bora akuchape tu yaishe
1) Binafsi nakumbuka kipindi tukiwa shuleni siku Moja tulichelewa kufika
Basi siku hiyo ilikuwa zamu ya mwalimu mmoja hivi
Yule mwalimu akatuambia Mimi sitoweza...
Kila wakipiga jicho wanaona Muiran amekodoa macho akisubiri apate sababu ya kuingamiza Israel
ukweli ni kwamba hata wao Marekani wanafikiria je ikitokea moja ya meli zao kuzamishwa je aibu hii wataificha wapi
Kila Nchi imekataa kutumika anga lake kuwa kama kificho ,wamezoea mtindo wao wa...
Mkuu wa Mkoa wa Songwe ndugu Jabiri Makame, amefanya ziara ya kushtukiza katika Mpaka wa Tunduma kukagua utekelezaji wa Maagizo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba kuhusu upanuzi wa barabara ya kuelekea Mpaka wa Tanzania na Zambia kwa njia nne ili...
Happy birthday mamy .
Nakuelewa sana mama Samia.
Waliotaka kuufanya uongozi wako kama punching bag wameparaganyika. Hawaamini macho yao .
Awe NABII, sheikh au mchawi yeyote atakayeinua kinywa chake kwa uovu juu yake amekwisha.
Sitanii niko serious.
Jiwe alizingua sana nikamwomba Mungu akamvuna ...
Kuna ile unaenda dukani kununua bidhaa fulani mfano unaambiwa bei yake ni 100k halafu wewe unasema nina 70k tu, mwenye duka bila kusita anakwambia "Sawa Lipia"
Hivi huwa unahisi vipi, umepigwa au umempiga mwenye duka? Huwa inauma inakata sana unajiona leo mtoto wa mjini naelekea kupigwa nini...
Nchi kadhaa barani Afrika zinaomba msaada wa kifedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), misaada inayoambatana na masharti magumu ya kisera yanayoathiri maamuzi ya kiuchumi na uhuru wa nchi husika.
Kwa mujibu wa Businness Insider Africa katika orodha Misri inaongoza kuwa na deni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.