mkutano

Mkutano Meets the Culture Musical Club of Zanzibar is an album by American blues artist Taj Mahal.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Tetesi: CHADEMA kuandaa mkutano mkubwa wa hadhara kwa ajili ya kutangaza msamaha kwa Mdee na wenzake

    Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake. Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home). Itakumbukwa...
  2. Stephano Mgendanyi

    Stephen Byabato awahamasisha wadau wa nishati kushiriki mkutano na maonesho ya petroli ya Afrika Mashariki

    MHE. STEPHEN BYABATO AWAHAMASISHWA WADAU WA NISHATI KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKI Wadau mbalimbali katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia nchini wamehamasishwa kushiriki katika Mkutano na Maonesho ya 10 Petroli yanayotarajiwa kufanyika nchini Uganda mwezi Mei mwaka...
  3. EvilSpirit

    Bwana Gwajima ana mkutano leo Mbalizi Mbeya Tarehe 05/03/2023

    Kuna gari la matangazo kwa wiki sasa limekuwa likipita mitaani kutangaza mkutano wa bwana Josephat gwajima utakaofanyika Mbalizi Mbeya. Moja ya maneno yanayotumiwa na mtangazaji kuwavuta watu kwenye mkutano huo ni kusema "Misukule itatolewa" I will be there kuona hiyo misukule ya kupangwa...
  4. Zanzibar-ASP

    WanaCCM Arusha wamtaka Mrisho Gambo naye aitishe mkutano wa hadhara kujibu mapigo ya Lema

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Arusha kumekucha upya baada ya Godbless Lema kutua nchini na kulitikisa jiji lolote la Arusha kwa kishindo cha mapokezi, shamrashara mitaani na mkutano mkubwa wa hadhara. Sasa makundi mbalimbali ya wanaCCM yameamua kupiga kelele kwa mbunge wa Jimbo la Arusha mjini...
  5. Roving Journalist

    Rais Samia: Tuache migongano, kusengenyana, uvivu na uzembe ili tufanye kazi za watu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifunga Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) Jijini Arusha, leo tarehe 04 Machi, 2023 RAIS SAMIA ANAZUNGUMZA Yapo...
  6. HERY HERNHO

    Blinken uso kwa uso na Lavrov pembezoni mwa mkutano wa G20

    Wanadiplomasia wa Marekani na Urusi wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya kigeni kutoka kundi la nchi 20 zilizopiga hatua kiviwanda G20, mkutano ulioshindwa kutoka na tamko la pamoja. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken na mwenzake wa Urusi Sergei...
  7. Roving Journalist

    Rais Samia: Sipendi kubadili viongozi mara kwa mara lakini nalazimika kukwepa fedheha

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha leo tarehe 02 Machi, 2023 RAIS SAMIA “Kutofanyika kwa...
  8. Idugunde

    Watu mil 2 wahudhuria mkutano wa Chadema Tunduma. Chadema ipo juuu

  9. L

    Kutuma salamu za pongezi kwa mkutano wa AU kwa miaka sita mfululizo, ni mambo gani anayojali Xi Jinping?

    Hivi karibuni, Rais Xi Jinping wa China alituma salamu za pongezi kwa Mkutano wa 36 wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika. Huu ni mwaka wa sita mfululizo akiendelea kutuma salamu kwenye mkutano huo, na pia ni mara yake ya kwanza kutuma baada ya kuchaguliwa tena kuwa katibu mkuu wa Kamati Kuu ya...
  10. Msanii

    Kukatisha matangazo Mubashara ITV dhidi ya mkutano wa ACT Zakhiem

    Tarehe 19 Februari 2023 chama cha ACT Wazalendo walifanya mkutano wao wa Kwanza ambapo viongozi wake wa kitaifa walishiriki na kuongea na wananchi. Cheche zilianza kuonekana pale aliposimama Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar ambape pia ni makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar alipoelezea umma...
  11. The Assassin

    Haya ndio CHADEMA waliyoyazungumza toka mkutano ya siasa imeanza

    Toka kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, haya ndio waliyoyazungumza CHADEMA kwa ujumla wake. Hii ndio summary ya mikutano ya chadema na mada wanazozungumza. Hiki chama kimeshajifia.
  12. Tindo

    Leo Kibaraka wa CCM mzee Lipumba alikuwa na mkutano hapa Dar, mbona hatupati updates?

    Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
  13. Mbunge Afrika Mashariki

    CUF-Chama Cha Wananchi, Taarifa kwa umma kuhusu mkutano wa hadhara kesho Magomeni Kanisani

    THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi) TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MKUTANO WA HADHARA KESHO MAGOMENI KANISANI: Mwenyekiti wa CUF-Chama Cha Wananchi Prof. Ibrahim Lipumba kesho Jumamosi Februari 11, 2023 anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Mkutano Mkubwa wa Hadhara ulioandaliwa na Wilaya...
  14. Roving Journalist

    Stellah Manyanya: Hospitali ya Kanda ya Kusini haina huduma Muhimu

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 9, 2023 kwenye Mkutano wa 10, Kikao cha 8 Mbunge wa Nyasa, Mhandisi, Stellah Manyanya amebainisha kuwa Hospitali ya Kanda ya Kusini iliyopo Mkoani Mtwara, haina huduma muhimu hivyo Wananchi kulazimika kutembea umbali wa hadi KiloMita 1,200, Miaka 2...
  15. Roving Journalist

    Bunge la 12: Mkutano wa 10, Kikao cha 7, Februari 8, 2023

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 8, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 10, Kikao cha 7.
  16. Roving Journalist

    Bunge la 12: Mkutano wa 10, Kikao cha 6, Februari 7, 2023, LAAC yataka waliosababisha hasara katika Halmashauri wachukuliwe hatua

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 7, 2023 kwenye Mkutano wa 10, Kikao cha 6 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imebaini Miamala kufutwa au baadhi ya tarakimu kurekebishwa bila idhini ya Maofisa Masuhuli au bila kuwapo kwa nyaraka za Uthibitisho wa uhalali wa...
  17. Roving Journalist

    Watu 367 wamefariki kwa ajali barabarani Oktoba hadi Desemba 2022

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 6, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 10, Kikao cha 5 VITAMBULISHO VYA NIDA NI ASILIMIA 68 TU Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Vita Rashid Kawawa akisoma Taarifa ya kamati kwa kipindi cha Februari 2022 hadi 2023, amesema...
  18. Poppy Hatonn

    Mkutano wa VP Mpango Mnazi Mmoja umeanza vibaya. Kibaka aiba simu ya Katibu Mwenezi wa Mkoa.

    Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa. MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane. Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
  19. Roving Journalist

    Patrobas Katambi: Vijana 1,732,509 hawana ajira Nchini

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo, Februari 3, 2023 Kwenye Bunge la 10, Kikao cha 4 Serikali yasema Vijana 1,732,509 hawana ajira Akizungumza Bungeni, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi amesema: “Utafiti wa watu wenye uwezo wa...
  20. Roving Journalist

    Kassim Majaliwa: Wanaorekodi Matukio ya Ukatili na kuyarusha Mtandaoni waache

    Fuatilia yanayojiri Bungeni leo, Februari 2, 2023 kwenye Mkutano wa 10, Kikao cha 3 WAZIRI MKUU: WANAOREKODI MATUKIO NA KUYARUSHA MITANDAONI WAACHE Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema “Nitoe wito kwa jamii hasa wale wanaonasa matukio na kuyarusha kwenye mitandao kutofanya hivyo kwa kuwa...
Back
Top Bottom