Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Ni aibu kwa viongozi wa dini kuhudhuria mkutano wa kumsaidia Samia apite bila kupingwa, hiyo inamaanisha mkutano huo mnaenda kuhongwa ili muegemee upande Mmoja.
Ni aibu kuhudhuria mkutano wa kujadili namna ya kuisaidia CCM kubaki madarakani, ni aibu kwenu na ni aibu kwetu sisi waumini wenu. Iombeeni nchi, fanyeni jukumu lenu la kutokuwa upande wowote.
Mtanisikitisha sana mtakao hudhuria mkutano huo wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi yetu, najua Chalamila anatumia nguvu kubwa ili apendwe na mamlaka lakini anaweza hata mwaka huu asiumalize kabisa kwa hapa Dar.
Ni aibu kuhudhuria mkutano wa kujadili namna ya kuisaidia CCM kubaki madarakani, ni aibu kwenu na ni aibu kwetu sisi waumini wenu. Iombeeni nchi, fanyeni jukumu lenu la kutokuwa upande wowote.
Mtanisikitisha sana mtakao hudhuria mkutano huo wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi yetu, najua Chalamila anatumia nguvu kubwa ili apendwe na mamlaka lakini anaweza hata mwaka huu asiumalize kabisa kwa hapa Dar.