Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Wakuu,

Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa.

Akiwa anaongoza mjadala mara atoe ufafanuzi kueleza juu ya uwekezaji, mara atoe ufafanuzi juu ya DP World, yeye yupo kama moderator hayo mengine anaongea kama nani

Anawaambia wahariri Serikali ikisema mkataba huu hauna shida waandishi msiende kupotosha, hapa si anatetea kabisa Serikali na kuonesha wahariri wapo kwenye payrole?
 
Wakuu,

Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa.

Akiwa anaongoza mjadala mara atoe ufafanuzi kueleza juu ya uwekezaji, mara atoe ufafanuzi juu ya DP World, yeye yupo kama moderator hayo mengine anaongea kama nani

Anawaambia wahariri serikali ikisema mkataba huu hauna shida waandishi msiende kupotosha, hapa si anatetea kabisa serikali na kuonesha wahariri wapo kwenye payrole?
Hapo kashavuta chake kirefu
 
Wakuu,

Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa.

Akiwa anaongoza mjadala mara atoe ufafanuzi kueleza juu ya uwekezaji, mara atoe ufafanuzi juu ya DP World, yeye yupo kama moderator hayo mengine anaongea kama nani

Anawaambia wahariri Serikali ikisema mkataba huu hauna shida waandishi msiende kupotosha, hapa si anatetea kabisa Serikali na kuonesha wahariri wapo kwenye payrole?
kwani Pascal Mayalla anasemaje ?
 
Wakuu,

Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa.

Akiwa anaongoza mjadala mara atoe ufafanuzi kueleza juu ya uwekezaji, mara atoe ufafanuzi juu ya DP World, yeye yupo kama moderator hayo mengine anaongea kama nani

Anawaambia wahariri Serikali ikisema mkataba huu hauna shida waandishi msiende kupotosha, hapa si anatetea kabisa Serikali na kuonesha wahariri wapo kwenye payrole?
Enzi za Kikwete walimchachafya sana
 
Wakuu,

Kwenye mkutano huu wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Wahariri unaofanyika leo tar 14/07/2023 akielezea mkataba na uwekezaji wa bandari, Balile anaegemea upande wa serikali kabisa.

Akiwa anaongoza mjadala mara atoe ufafanuzi kueleza juu ya uwekezaji, mara atoe ufafanuzi juu ya DP World, yeye yupo kama moderator hayo mengine anaongea kama nani

Anawaambia wahariri Serikali ikisema mkataba huu hauna shida waandishi msiende kupotosha, hapa si anatetea kabisa Serikali na kuonesha wahariri wapo kwenye payrole?
Kibanda ndiyo alikuwa anahoji maswali magumu.Yule Balile si Chawa wa Mama,hana lolote.Media ya Tanzania imewekwa mfukoni na Wanasiasa tofauti na wenzetu Kenya wapo professional sana lakini sisi mpaka Mpoki na Babalevo ni Watangazaji!
 
Balile licha ya kuvuta mpunga pia anavizia teuzi kubwa serikalini hasa,ukurugenzi wa habari Ikulu mawasiliano au msemaji wa serikali ama katibu mkuu wizara ya habari
Kwani ana sali au ana swali?elewa swali vizuri usikurupuke kujibu!
 
Back
Top Bottom