Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Duru za kinyeti zinatabanaisha, huenda Dkt. Slaa na wenzake wakazuiwa kwenda kuongoza mkutano waliouitisha kwa ajili ya kujadili suala la MKATABA wa BANDARI.
Nukuu:
"....Mkutano wao kina Dk Slaa sidhani kama utaruhusiwa na wakubwa. Yapo maelekezo japokuwa hayajawa bayana mkutano ule uzuiliwe kwa eti sababu za kiintelijensia.
Mkubwa mmoja amependekeza siku ya mkutano ima wazuiliwe makwao ama wakamatwe kwa mahojiano hadi mda wa baadae sana ili kutaniko lile lisifanyike.
Na Msajili ashapewa maelekezo ya kuzuia pia endapo hayo yote yasipowezekana.
Na, huenda hata mikusanyiko ya mikutano ya hadhara ihusuyo siasa, itazuiliwa baada ya Katibu mkuu wa CCM kumaliza ziara yake kwa kisingizio cha matishio ya ugaidi hasa Mbeya na Arusha."
Duru.
Nukuu:
"....Mkutano wao kina Dk Slaa sidhani kama utaruhusiwa na wakubwa. Yapo maelekezo japokuwa hayajawa bayana mkutano ule uzuiliwe kwa eti sababu za kiintelijensia.
Mkubwa mmoja amependekeza siku ya mkutano ima wazuiliwe makwao ama wakamatwe kwa mahojiano hadi mda wa baadae sana ili kutaniko lile lisifanyike.
Na Msajili ashapewa maelekezo ya kuzuia pia endapo hayo yote yasipowezekana.
Na, huenda hata mikusanyiko ya mikutano ya hadhara ihusuyo siasa, itazuiliwa baada ya Katibu mkuu wa CCM kumaliza ziara yake kwa kisingizio cha matishio ya ugaidi hasa Mbeya na Arusha."
Duru.