Wapi naweza pata wafanyabiashara wa bidhaa hizi ambao wako tayari kuuza bidhaa zao kwa wingi zaidi ila kwa mkopo wa muda mfupi?

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,763
35,201
Natafuta wafanya biashara wanaotoa na kuuza bidhaa zao kwa mkopo. Namaanisha suppliers ambao wanaweza kukupa bidhaa au huduma na ukalipa kwa instalments labda kwa miezi2, 3, 6, 9 au 12.

Ningependelea zaidi kupata wale wanaohusika na

Vifaa vya ujenzi kama vifaa vya umeme, mabomba, tofali, cement, nondo, kokoto, bati, mbao, gypsum boards, aluminiums, grills, rangi za nyumba na vingine vinavyohusika

Vyombo vya usafiri ikiwa ni pamoja na pikipiki, bajaj, magari madogo

Wanaouza plots na mashamba, wanaouza mifugo na kutoa matunzo ya ufugaji kwa wateja wao kama ng'ombe wa maziwa, mbuzi, viranga wa aina zote (wa kuku, samaki...) n.k

Kama upo kati ya hao na unafanya biashara rasmi (namaanisha biashara iliyosajiliwa kisheria) karibu tuyajenge. Asanteni
 
Natafuta wafanya biashara wanaotoa na kuuza bidhaa zao kwa mkopo. Namaanisha suppliers ambao wanaweza kukupa bidhaa au huduma na ukalipa kwa instalments labda kwa miezi2, 3, 6, 9 au 12.

Ningependelea zaidi kupata wale wanaohusika na

Vifaa vya ujenzi kama vifaa vya umeme, mabomba, tofali, cement, nondo, kokoto, bati, mbao, gypsum boards, aluminiums, grills, rangi za nyumba na vingine vinavyohusika

Vyombo vya usafiri ikiwa ni pamoja na pikipiki, bajaj, magari madogo

Wanaouza plots na mashamba, wanaouza mifugo na kutoa matunzo ya ufugaji kwa wateja wao kama ng'ombe wa maziwa, mbuzi, viranga wa aina zote (wa kuku, samaki...) n.k

Kama upo kati ya hao na unafanya biashara rasmi (namaanisha biashara iliyosajiliwa kisheria) karibu tuyajenge. Asanteni
Mh?
 
'Namaanisha suppliers ambao wanaweza kukupa bidhaa au huduma na ukalipa kwa instalments labda kwa miezi2, 3, 6, 9 au 12.'

Kwa hakika Suppliers wa dizaini hio utawapata Chato labda
Hata Chato nipo Usiogope
 
Kwa bongo hii,hupati,labda uweke hati ya nyumba kama collateral
Nikikumbuka nilivyosumbuliwa mpaka kufikishana polisi,unamdai mtu anakuletea story za biashara imekuwa ngumu kama vile mie ndio niliomwambia afanye hio biashara....

Kimsingi lazma kuwe na Deposit itakayo act kama bond kwanza ambayo ukileta upumbavu tunajilipa sehemu ya hasara. Kuna mwanangu anafanya na lake oil aliambiwa atie 30M kwanza, kuna mshua anafanya na Colgate kama sole distributor kapewa northern zone aliambiwa aweke deposit yan 120M kwanza.

Hivi vitu haviendi kienyeji. Labda uwe distributor wa vipodozi mwitu tu na dawa za nguvu za kiume. You need money to make money!
 
Nakwambia hivi wewe peleka tu hizo kengele kwa hao ma-supplier then watakupa tu mzigo kizembe tu uje uwarudishie pesa baada ya miezi 12.

Payable days 12 months yaani siku 365?hahah hapo tushakuweka kwny 'bad debts written-off' siku nyiiiiiiingi.
Pole sana maana zilipoishia fikra zako ndio za wengine zinaanzia. Hujalazimishwa wala hujui na hujui kwamba hujui pia😂😂😂😂😂
 
Ungetuambia ukubwa wa Biashara yako kwanza
Maana kwa Kampuni tu yenye Mapato ya Bilioni Moja mpaka 2 kwa Mwezi hua inawalipa Suppliers wake ndani ya Siku 30 tuu...Yaani hapo umepewa Purchasing Order Kama mkataba.
Kwa Uzoefu wangu sijawahi kuona hio Mali kauli ya miezi miwili bila kuwepo na Advance payment ya angalau 50_70%.hasa kwa Supplier wa Tanzania ambao wanategemea malipo ya Cash.
NATAMANI Sana kujua hio Biashara yako utaminika vipi.
 
Nikikumbuka nilivyosumbuliwa mpaka kufikishana polisi,unamdai mtu anakuletea story za biashara imekuwa ngumu kama vile mie ndio niliomwambia afanye hio biashara....

Kimsingi lazma kuwe na Deposit itakayo act kama bond kwanza ambayo ukileta upumbavu tunajilipa sehemu ya hasara. Kuna mwanangu anafanya na lake oil aliambiwa atie 30M kwanza, kuna mshua anafanya na Colgate kama sole distributor kapewa northern zone aliambiwa aweke deposit yan 120M kwanza.

Hivi vitu haviendi kienyeji. Labda uwe distributor wa vipodozi mwitu tu na dawa za nguvu za kiume. You need money to make money!
Unachoongea ni kweli kabisa Extrovert lakini mpango wa biashara yoyote unategemeana na mambo mengi ikiwapo aina ya soko lako unalolilenga, mfumo wa malipo na wadhamini. Lazima kuwa makini katika kutambua Risk kubwa iko wapi na inapobidi unaweza kuwa na bima ya biashara pia ili kuweza kufanya biashara ya uhakika na isiyokua na kulaghai wala hasara

ignatus peter
 
Mfano wa Kampuni zenye Turnover ya kiasi hiki hapa kwenye Picha ndo wanaweza kuaminiwa kua hawawesi leta Ujanja Ujanja kwenye malipo kutoka na tu Ile kanuni ya kiuhasibu inaonekana pia...Going Concern Principal
Screenshot_20200917-111742__01.jpg
 
Unachoongea ni kweli kabisa Extrovert lakini mpango wa biashara yoyote unategemeana na mambo mengi ikiwapo aina ya soko lako unalolilenga, mfumo wa malipo na wadhamini. Lazima kuwa makini katika kutambua Risk kubwa iko wapi na inapobidi unaweza kuwa na bima ya biashara pia

ignatus peter

Hahaha naona sasa unaleta theories za darasani sijui wadhamini mara bima ya biashara.

Aisee hebu nenda kwa ma-supplier kawaletee hizo story ndipo utajua hujui sasa.
 
Back
Top Bottom