Ni kweli kuwa kudisco siyo ukilaza kuna abscondment au kuibia mitihana ila majibu yako kwa MBIIRWA inaonesha alikuwa sahihi; maana una jazba na masomo yanahitaji utulivu ingawa jembe la kulimia halihitaji utulivu bali jazbaIlikua si lazima ucoment apa.... Anyway sikila aliyedisco chuo kadisco kwa ujinga ya kichwa akonayo,try to be matured