Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 653
Toka nimeomba mkopo CRDB zimepita siku15 bila kuingiziwa mkopo wangu. Taratibu zote nimefuata ikiwemo makato kuingizwa hadi muda huu sielewi hii bank ina shida gani.
Mbaya zaidi afisa mkopo hapokei simu yangu.
Mliopo mjinj niambieni kuna nini uko maana niko shamba nalima na nilitegemea pesa nizitumie kwenye kuazima tractor.
CRDB wanakwama wapi jamani?
Mbaya zaidi afisa mkopo hapokei simu yangu.
Mliopo mjinj niambieni kuna nini uko maana niko shamba nalima na nilitegemea pesa nizitumie kwenye kuazima tractor.
CRDB wanakwama wapi jamani?