Ni wakati wa wanafunzi kuwa wapole, walitegemea riba itapunguzwa imekuwa tofauti badala yake fedha zitaongezwa ili wengi wapate mikopo maana yake ni mtaji unawekezwa ili ukue kwa riba ile ile ya 15% .
ushauri wangu ni wazazi wajitahidi kutafuta pesa wawasomeshe watoto si kwa mikopo maana makato ni makubwa na hawataweza kunufaika na mishahara yao endapo itakuwa midogo badala yake wataifanyia kazi kwa muda mrefu sana.
ushauri wangu ni wazazi wajitahidi kutafuta pesa wawasomeshe watoto si kwa mikopo maana makato ni makubwa na hawataweza kunufaika na mishahara yao endapo itakuwa midogo badala yake wataifanyia kazi kwa muda mrefu sana.