Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Leo hii baada ya habari ya Msigwa kulipiwa na Magu kutoka,watu watakuwa wameshangaa ila mimi binafsi sijashangaa kwani nilijua kitafanyika kitu kama hiki na hakika kimetimia ndani ya masaa 24.
Wakati ACT-Wazalendo wakichangia shilingi milioni mbili,sitashangaa chama cha kijani nacho kikachangia ili kujisafisha na aibu hii ya kisiasa
Lengo kubwa la mada hii si kuongelea haya yanayoendelea,bali ni kuwatahadharisha CHADEMA hasa mwenyekiti Mbowe kuwa kitachofuata ni yeye kualikwa Magogoni kwa mazungumzono na Bwana yule alafu baadae watoke mbele ya waandishi wapige picha kuonyesha kuwa siasa si uadui na kwamba Bwana yule hana chuki na upinzani(usanii mtupu).
Hivyo,namtahadharisha Mbowe ikiwezekana mwaliko huo{kama utatolewa) aupotezee kabisa kwani utakuwa ni wa kujaribu kurekebisha makosa ya wao kuwekwa ndani na ukweli mwingine ni kuwa watachokubaliana kitakuwa ni geresha tu hivyo ni bora asijisumbue kukutana na Bwana yule.
Tambueni huyu Bwana amepania kuwashughulikia kadri awezavyo hivyo kuweni makini
Wakati ACT-Wazalendo wakichangia shilingi milioni mbili,sitashangaa chama cha kijani nacho kikachangia ili kujisafisha na aibu hii ya kisiasa
Lengo kubwa la mada hii si kuongelea haya yanayoendelea,bali ni kuwatahadharisha CHADEMA hasa mwenyekiti Mbowe kuwa kitachofuata ni yeye kualikwa Magogoni kwa mazungumzono na Bwana yule alafu baadae watoke mbele ya waandishi wapige picha kuonyesha kuwa siasa si uadui na kwamba Bwana yule hana chuki na upinzani(usanii mtupu).
Hivyo,namtahadharisha Mbowe ikiwezekana mwaliko huo{kama utatolewa) aupotezee kabisa kwani utakuwa ni wa kujaribu kurekebisha makosa ya wao kuwekwa ndani na ukweli mwingine ni kuwa watachokubaliana kitakuwa ni geresha tu hivyo ni bora asijisumbue kukutana na Bwana yule.
Tambueni huyu Bwana amepania kuwashughulikia kadri awezavyo hivyo kuweni makini