Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,621
- 218,046
Hakuna jipya......kesi imeisha sasa imarisheni chama!View attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
Wangejichanganya kwa Mwambe saa hii chama mingekua kinaelea mto rufijiKwamba,bado uko imara, tunamshukuru Mungu kwa hadhina hii ya viongozi wa upinzani ambao pamoja navitisho Vya kimahakama, dola na hats vifo bado wapi imara kututetea na kuitetea demokrasia yetu. We Mungu wabariki viongozi wetu
Nafikiri naye atatuambie jinsi alivyokuwa analima huko gerezani kama ambavyo alivyotueleza Mh. Heche. Ngoja tusubiri movie nyingine ya wanachadema.View attachment 1387272
View attachment 1387273
Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa
wafungwa wa Tanzania hunyolewa nyweleMbona kanyolewa nywele?
Kama Mandela vile alipotoka jela.
Hata mwambawafungwa wa Tanzania hunyolewa nywele
Sasa kama unapiga deki lumumba habari utazijulia wapi ?Kila anaetoka Segerea anatangaza kufa press conference! Wameanza wakina mdee hatujui ata waliongea nn mwisho wa siku
Ikiwa hivyo polisi watafanya kazi gani sasa ? maana kazi kubwa ya jeshi la polisi Tanzania ni kupambana na ChademaHatimaye kesi imeisha, hukumu imetoka, faini wamelipa, sasa wawe huru kuendelea na shughuli zao za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app