matumizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TheDreamer Thebeliever

    Tanzania yaokoa zaidi yaTsh trilion 36 kutokana na matumizi ya gesi asilia

    Dar es Salaam. Tanzania imeokoa hadi $ 15.6 bilioni (kama Sh36 trilioni) kwa gharama za nishati kwa kubadili gesi asilia kama chanzo cha nishati kutoka Julai 2004 hadi Septemba 2020, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linasema. Nchi iliokoa kiasi hiki kwa kutumia gesi asilia...
  2. Sam Gidori

    Mambo ya msingi unayopaswa kuyafahamu kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii kibiashara (3)

    Mambo 10 ya kuzingatia unapoandaa chapisho la tangazo la kibiashara mtandaoni Mitandao ya kijamii imebadilika kutoka kuwa majukwaa ambayo watu hukutana kufahamiana na kujadili masuala mbalimbali ya kijamii, hadi kuwa majukwaa ya kibiashara ambayo unaweza kukutana na wateja wako, kuwafahamisha...
  3. Sam Gidori

    Mambo ya msingi unayopaswa kuyafahamu kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii kibiashara (1)

    Kwanini Unahitaji Mitandao ya Kijamii katika biashara yako? Mitandao ya Kijamii imekuwa kiungo muhimu katika miaka ya hivi karibuni tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma, hasa katika ulimwengu wa biashara ya mtandaoni ambao umewawezesha wafanyabiashara kuwafikia mamilioni ya wateja kwa urahisi...
  4. B

    Tujadili matumizi ya V8 katika Taifa letu

    Kutumbuliwa kwa Mkurugenzi wa Geita kumeibua mjadala kuhusu kiongozi gani anapaswa kumiliki au kutembelea gani. Hoja kuu inatokana na kile kinachoelezwa kuwa V8 si anasa kwa wakurugenzi na wamekuwa wakitumia gari hizi kwa miaka kadhaa sasa. Hi hoja ilipowasilishwa Bungeni wakati wa Spika...
  5. The Dictator

    Blacklist na Whitelist: Matumizi ya maneno haya si muendelezo wa kiubaguzi kwa namna tofauti?

    "Blacklist na whitelist" sio maneno mageni sana katika ulimwengu wa leo. Mara nyingi haya maneno yamezoeleka kutumika katika mambo ya kiusalama katika mitandao ya mawasiliano. Ukiangalia kwa upande mwingine maneno haya hasa hapo zamani kidogo katika nchi za wenzetu 'ulaya na marekani' maneno...
  6. GENTAMYCINE

    Tujitahidi kuwa na matumizi mazuri ya Ndimi zetu kama ambavyo hata Vitabu vya Mungu vimetuelekeza hivyo

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wanamshikilia Mfanyakazi za Ndani , Happiness Sela (24) kwa tuhuma za kumchoma kisu Ezekiel Nyamuko (24) kwa kile kinachodaiwa kuwa alipatwa na hasira baada ya kuambiwa na mtu huyo kuwa ana roho mbaya kama sura yake ndio maana haolewi. Chanzo: HabariLeo Sasa...
  7. I

    Je, Wabunge hutumia vipi vipato vyao? Inakuaje Mbunge baada ya miaka 10 bado njaa inamuendesha?

    Kufuatia sakata hili la 19 ambalo ni wazi inaonesha msukumo wake ni njaa ya mapesa na anasa za Ubunge, nachelea kuhoji sasa hawa Wabunge wetu wanapanga vipi bajeti zao kutokana na mapesa wanayolipwa? Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya Ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa...
  8. sky soldier

    Usilalamike unaibiwa, jifunze kubana matumizi ya kifurusshi cha data kwenye computer yako

    "Yani nimejiunga kifurushi cha gb 1 baada ya dakika 5 kimeisha, makampuni ya simu wezi" Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao Computer zetu hizi za windows zimetengenezwa katika namna ya kwamba endapo kutakuwa kuna updates basi zitaji...
  9. B

    Afisa Elimu Wilaya ya Hai Kilimanjaro, fafanua kuhusu posho na matumizi ya Jeshi kusimamia mtihani

    Afisa Elimu Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro amelipa posho Tsh. 120,000 kuanzia tar 8/12/2020 na kuendelea hujaweka wazi kama ndio posho yote ya kusimamia mtihani au la, hujaweka wazi ni Tsh. ngapi watalipwa kwa siku wengine mwisho wa kusimamia ni Ijumaa kesho ikiwa tayari wamekaa siku 9...
  10. Trubarg

    Drones ni game changer kwenye vita

    Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi. Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi. Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na...
  11. Grahams

    Zikiwa zimebaki siku 50 Mwaka kuisha, hii ni tathmini ya matumizi yangu kwa mwaka 2020.

    Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo...
  12. FedhaBook

    SOFTWARE FedhaBook: Tunza kumbukumbu zako za mapato na matumizi bila malipo ya kila mwezi wala mwaka

    .
  13. Miss Zomboko

    IMF yazitaka nchi kudhibiti matumizi ya pesa kutokana na athari za Corona Kiuchumi bado zinaendelea

    The pandemic-induced economic crisis is set to leave deep scars. Human capital erosion from prolonged high unemployment and school closures, value destruction from bankruptcies, and constraints on future fiscal policy from elevated public debt top the list. Groups that were already poor and...
  14. Transistor

    Taa za LED warm sportlight kwa ajili ya studio lights/effects au matumizi ya kwenye Ukumbi

    Zinatoa mwanga mkali ambao Ni light warm(sio mweupee ni njano kidogo) -zinatumia umeme we TANESCO -Zina Watt 20 -Ni LED -Mwanga wake Ni direct na siyo scattered -Sport light -Zipo Pc4 - Zinatumia choke,(serviceable),zikiiungua zinatengenezeka. Bei 50,000/- each Call 0682210453 Zipo Dar
  15. monotheist

    Matumizi ya android tv box

    Natumaini hamjambo, Nina tv yangu ambayo si smart tv nataka ninunue android tv box ili iwe smart tv lakini Sina uwelewa wa kutosha na matumizi ya android tv box Je kifaa hiki kinauwezo wa kuhifazi picha, movies, games na music ? Na vipi kuhusu storage naona zina storage kama za simu mfano RAM...
  16. MK254

    Rwanda yaruhusu ukulima wa bangi

    Serikali ya #Rwanda imehalalisha kilimo cha Bangi ili kuuza nje ya nchi, matumizi ya kujifurahisha au kujitibu bado yanahesabiwa kuwa haramu kisheria Rwanda inatarajia kukuza mapato ya kusafirisha bidhaa nje na kufaidika na soko la bangi la dunia ambalo lina thamani ya dola bilioni 345 sawa na...
  17. CUF Habari

    GE2020 Prof.Lipumba, Handeni: Mkinipa kura za kutosha Oktoba 28, na nikawa rais nitasimamia elimu bora na matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano

    MKINIPA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28, NA NIKAWA RAIS NITASIMAMIA ELIMU BORA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO "PROF.LIPUMBA" HANDENI VIJIJINI Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itahakikisha kuwa watoto wote wa Tanzania wanakuwa na haki ya kupata elimu bora ya msingi...
  18. Y

    Ushauri: Kati ya nyaya za umeme kuzunguka nyumba (electric fence) na kamera za ulinzi (CCTV camera) ipi inafaa kwa matumizi ya nyumbani?

    Salaam wadau. Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina. JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali...
  19. Miss Zomboko

    Matumizi holela ya vidonge vya uzazi wa mpango vyaongeza Saratani ya matiti kwa mabinti

    Ongezeko la saratani kwa wasichana latisha TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI), imebainisha kuwapo ongezeko la saratani ya matiti kwa wasichana nchini, kunakochagizwa na matumizi holela ya vidonge vya uzazi wa mpango. Imesema wasichana wenye umri kuanzia miaka 25 ndio kundi lililothibitika...
  20. CUF Habari

    GE2020 Prof. Lipumba akiwa Musoma: Mkinipa kura za kutosha nikawa Rais, nitasimamia Elimu Bora na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

    MKINIPA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28, NA NIKAWA RAIS NITASIMAMIA ELIMU BORA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO "PROF.LIPUMBA" MUSOMA- MARA Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itahakikisha kuwa watoto wote wa Tanzania wanakuwa na haki ya kupata elimu bora ya msingi, elimu ya...
Back
Top Bottom