CAG ni mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serilali lakini mara nyingi inaonekane GAC anakagua mahesabu ya serikali, lakini hafanyi udhibiti wa matumizi ya fedha za serikali.
Kazi ya CAG inapaswa pia kudhibiti jinsi fedha za serikali zinavyotumika, la sivyo naona hatutaondokana na haya madduddu ya kila mwaka.
Au mnijulishe ni nani anayefanya udhibiti wa matumizi ya fedha za serikali kuhakikisha zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa?
Kazi ya CAG inapaswa pia kudhibiti jinsi fedha za serikali zinavyotumika, la sivyo naona hatutaondokana na haya madduddu ya kila mwaka.
Au mnijulishe ni nani anayefanya udhibiti wa matumizi ya fedha za serikali kuhakikisha zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa?