Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Nimejaribu kwa muda mrefu kuwafananisha hawa viongozi wawili ambao mmoja ametangulia mbele za haki kwa mapenzi ya Mola, Hawa viongozi wawili ni Energetic na Ni wakali sana kwenye rasilimali za nchi na ni wazalendo wa kweli.
Tofauti ya ndogo iko katika vipande hivi;
1. Tundu Lissu ni mwanasheria na Marehemu JPM ni mwanasayansi, ndio maana moja alisimama kiutendaji zaidi na mwingi ukali wake ni wa kiuanaharakati zaidi.
2. JPM alikua hasubiri na wala haangalii jambo flani linazuiwa na katiba au sheria ya nchi ili miradi tu ameona lina maslahi na taifa, Tundu Lissu yeye anataka kila kitu kifuate sheria ya nchi na katiba.
3. Lissu anaamini zaidi katika itifaki lakini JPM aliongeza zaidi kwenye matumizi ya nguvu ikiwezekana na wanajeshi wanatumika kwenye tawala za kiraia.
4. Tundu Lissu ni mwanadiplomasia na ana Expusure kubwa kwenye masuala ya kigeni lakini JPM hakua mwanadiplomasia na zaidi aliwatumia waandamizi wake kwenye masuala hayo.
5.JPM alielekeza nguvu nyingi katika kundi moja la watu wanaoitwa Wanyonge, Tundu Lissu yeye anaamini kila mtanzania ana haki sawa na wengine.
6.JPM alikua na uwezo wa kukasirika haraka sana penye jambo ambalo lina ubishani ndani yake na ikiwezekana anatumia mamlaka yake kulimaliza, Tundu Lissu yeye anapenda ubishi na hakubali kushindwa katika jambo.
7.JPM alikua muumini wa maendeleo na ustawi wa vitu lakini Tundu Lissu yeye ni muumini wa maendeleo na ustawi wa watu.
Tabia ziingine zote zilizobakia wanafanya kwa kila kitu wala hakuna ubishi.
Hawa Viongozi kwenye uzalendo sina shaka nao. Kwenye mapenzi yao juu ya taifa hili hakuna shaka.
Anayesema kua JPM mwingine hatokaa atokee katika taifa hili ni waungo na wana maslahi yao. Kiuongozi JPM na Tundu Lissu kwa kiasi kikubwa sana wanashabihiana katika Characters zao.
Tofauti ya ndogo iko katika vipande hivi;
1. Tundu Lissu ni mwanasheria na Marehemu JPM ni mwanasayansi, ndio maana moja alisimama kiutendaji zaidi na mwingi ukali wake ni wa kiuanaharakati zaidi.
2. JPM alikua hasubiri na wala haangalii jambo flani linazuiwa na katiba au sheria ya nchi ili miradi tu ameona lina maslahi na taifa, Tundu Lissu yeye anataka kila kitu kifuate sheria ya nchi na katiba.
3. Lissu anaamini zaidi katika itifaki lakini JPM aliongeza zaidi kwenye matumizi ya nguvu ikiwezekana na wanajeshi wanatumika kwenye tawala za kiraia.
4. Tundu Lissu ni mwanadiplomasia na ana Expusure kubwa kwenye masuala ya kigeni lakini JPM hakua mwanadiplomasia na zaidi aliwatumia waandamizi wake kwenye masuala hayo.
5.JPM alielekeza nguvu nyingi katika kundi moja la watu wanaoitwa Wanyonge, Tundu Lissu yeye anaamini kila mtanzania ana haki sawa na wengine.
6.JPM alikua na uwezo wa kukasirika haraka sana penye jambo ambalo lina ubishani ndani yake na ikiwezekana anatumia mamlaka yake kulimaliza, Tundu Lissu yeye anapenda ubishi na hakubali kushindwa katika jambo.
7.JPM alikua muumini wa maendeleo na ustawi wa vitu lakini Tundu Lissu yeye ni muumini wa maendeleo na ustawi wa watu.
Tabia ziingine zote zilizobakia wanafanya kwa kila kitu wala hakuna ubishi.
Hawa Viongozi kwenye uzalendo sina shaka nao. Kwenye mapenzi yao juu ya taifa hili hakuna shaka.
Anayesema kua JPM mwingine hatokaa atokee katika taifa hili ni waungo na wana maslahi yao. Kiuongozi JPM na Tundu Lissu kwa kiasi kikubwa sana wanashabihiana katika Characters zao.