Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hakuna aliye juu ya sheria hapa nchini, maana kuna watanzania wengi walishahukumiwa na kupoteza kazi sababu ya matumizi mabaya ya ofisi.
Sasa huyu ndugu Kigwangalla ambaye alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na alitumia vibaya ofisi kulipa mabilioni kulipa aliodai kuwa wadau wa utalii na hakufuata taratibu kwanini asihitakiwe?
Kumbe sasa tunapata jibu kuwa hata chuki zake kwa hayati JPM ni sababu alitoswa Uwaziri kwa sababu ya uozo wake.
Sasa huyu ndugu Kigwangalla ambaye alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na alitumia vibaya ofisi kulipa mabilioni kulipa aliodai kuwa wadau wa utalii na hakufuata taratibu kwanini asihitakiwe?
Kumbe sasa tunapata jibu kuwa hata chuki zake kwa hayati JPM ni sababu alitoswa Uwaziri kwa sababu ya uozo wake.