Tumuenzi Rais Magufuli kwa kubana matumizi yasiyo ya lazima

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Rais Magufuli (RIP) hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.

Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.

Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.

Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
 
Rais Magufuli rip hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.

Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.

Watanzania tusijekuambiwa masiko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko. Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k
 
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
Malizia ya kwamba. Mji mmoja pekee umemeza mabilioni mengi ktk miradi ambayo baadhi yake inaenda kufa au kutotumika.

Kulikua na mradi wa uwanja wa mpra unaenda huko
 
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k
Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
 
Rais Magufuli rip hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.

Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.

Watanzania tusijekuambiwa masiko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko. Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
Weka miradi iliyokwisha tujadili. Mipango kila aliye hai hata taahira anapanga
 
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k
Piga supu ya kongoro nakuja kulipia
 
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k
Ongezea suala la kuhamisha serikali Dodoma. Hivi Watanzania wanajua gharama kiasi gani imetumika!?

Kuanzia malipo ya uhamisho kwa watumishi? Ujenzi wa majengo ya mawizara na Taasisi zingine? Ujenzi wa mabarabara kule porini? Gharama za kila siku za Mawaziri na viongozi wengine kuja Dar kila siku wakati tumeaminishwa kuwa Serikali ipo Dodoma.

Kimsingi kuna matumizi mengi makubwa na yasiyokuwa na tija kwa Taifa yamefanywa kwenye kipindi cha utawala wake.
 
Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
1. SGR tiamaji tiamaji. Miaka mitano SGR iko Moro. Fedha hakuna hadi kakopa.
2. Rada ni mradi wa Kikwete, imefungwa awamu ya 5 baada ya terminal 3 kukamilika. Nayo terminal 3 ilianza kujengwa na JK.
3. Labda barabara za mitaani. Hakuna mkoa aliojenga barabara ya kufika km 200. Kama ipo itaje.
4. Kajenga uwanja wa ndege mmoja tu, kwao Chato.
5. Ndege kanunua bila mipango ya kibiashara ndio maana hasara kila siku. Ili kuficha hilo alikataza shirika la ndege lisikaguliwe na CAG. Katika kutapa tapa kibiashara akaona aue mashirika shindani japo haijasaidia.
6. Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali- hii ni kweli japo alizojenga si nyingi kama alizozikuta.
7. Mikopo vyuoni ilikuwepo tangu enzi, tena ndio kaharibu kuliko alivyokuta. Zaidi kawanyima mikopo watoto waliosoma sekondari private.
8. Hostel za wanafunzi- hadhi ya urais si ya kujenga hostel mbili za milioni 500 kila mmoja. Rais wa nchi anasifiwa kwa hostel mbili?

Zaidi kaeneza chuki za kisiasa, ukanda, ukabila na kujenga matabaka. Mambo ambayo yalimgharimu sana Mwl kuyamaliza. Alikuwa anatupeleka kwenye mgawanyiko kama uliopo Kenya au Uganda
 
1. SGR tiamaji tiamaji. Miaka mitano SGR iko Moro. Fedha hakuna hadi kakopa.
2. Rada ni mradi wa Kikwete, imefungwa awamu ya 5 baada ya terminal 3 kukamilika.
3. Labda barabara za mitaani. Hakuna mkoa aliojenga barabara ya kufika km 200. Kama ipo itaje.
4. Kajenga uwanja wa ndege mmoja tu, kwao Chato.
5. Ndege kanunua bila mipango ya kibiashara ndio manaa hasara kila siku. Ili kuficha hilo alikataza shirika la ndege lisikaguliwe na CAG. Katika kutapa tapa kibiashara akaona aue mashirika shindani japo haijasaidia.
6. Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali- hii ni kweli.
7. Mikopo vyuoni ilikuwepo tangu enzi, tena ndio kaharibu kuliko alivyokuta. Zaidi kawanyima mikopo watoto waliosoma private.
8. Hostel za wanafunzi- hadhi ya urais si ya kujenga hostel mbili za milioni 500 kila mmoja. Rais wa nchi anasifiwa kwa hostel mbili?
Asee
 
...
1. SGR tiamaji tiamaji. Miaka mitano SGR iko Moro. Fedha hakuna hadi kakopa.
2. Rada ni mradi wa Kikwete, imefungwa awamu ya 5 baada ya terminal 3 kukamilika.
3. Labda barabara za mitaani. Hakuna mkoa aliojenga barabara ya kufika km 200. Kama ipo itaje.
4. Kajenga uwanja wa ndege mmoja tu, kwao Chato.
5. Ndege kanunua bila mipango ya kibiashara ndio manaa hasara kila siku. Ili kuficha hilo alikataza shirika la ndege lisikaguliwe na CAG. Katika kutapa tapa kibiashara akaona aue mashirika shindani japo haijasaidia.
6. Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali- hii ni kweli.
7. Mikopo vyuoni ilikuwepo tangu enzi, tena ndio kaharibu kuliko alivyokuta. Zaidi kawanyima mikopo watoto waliosoma private.
8. Hostel za wanafunzi- hadhi ya urais si ya kujenga hostel mbili za milioni 500 kila mmoja. Rais wa nchi anasifiwa kwa hostel mbili?

Zaidi kaeneza chuki za kisiasa, ukanda, ukabila na kujenga matabaka. Mambo ambayo yalimgharimu sana Mwl kuyamaliza. Alikuwa anatupeleka kwenye mgawanyiko kama uliopo Kenya au Uganda
Kama hayo ni ya kweli, wale wanaofurika, kulia na kutandika nguo zao barabarani kwenye msiba wa JPM ni akina nani kama hajafanya kitu kwao? Wanalia nini? Ni wanafiki? Wanadanganya? Ebhanae!!!
 
1. SGR tiamaji tiamaji. Miaka mitano SGR iko Moro. Fedha hakuna hadi kakopa.
2. Rada ni mradi wa Kikwete, imefungwa awamu ya 5 baada ya terminal 3 kukamilika.
3. Labda barabara za mitaani. Hakuna mkoa aliojenga barabara ya kufika km 200. Kama ipo itaje.
4. Kajenga uwanja wa ndege mmoja tu, kwao Chato.
5. Ndege kanunua bila mipango ya kibiashara ndio manaa hasara kila siku. Ili kuficha hilo alikataza shirika la ndege lisikaguliwe na CAG. Katika kutapa tapa kibiashara akaona aue mashirika shindani japo haijasaidia.
6. Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali- hii ni kweli.
7. Mikopo vyuoni ilikuwepo tangu enzi, tena ndio kaharibu kuliko alivyokuta. Zaidi kawanyima mikopo watoto waliosoma private.
8. Hostel za wanafunzi- hadhi ya urais si ya kujenga hostel mbili za milioni 500 kila mmoja. Rais wa nchi anasifiwa kwa hostel mbili?

Zaidi kaeneza chuki za kisiasa, ukanda, ukabila na kujenga matabaka. Mambo ambayo yalimgharimu sana Mwl kuyamaliza. Alikuwa anatupeleka kwenye mgawanyiko kama uliopo Kenya au Uganda
Hata Chato iko Tanzania na kuna watanzania pia. Yaani asijenge chato kwakuwa ni kwao atasemwa. Alichofanya mwl kuitelekeza Butiama ndiyo sawa?
 
...

Kama hayo ni ya kweli, wale wanaofurika, kulia na kutandika nguo zao barabarani kwenye msiba wa JPM ni akina nani kama hajafanya kitu kwao? Wanalia nini? Ni wanafiki? Wanadanganya? Ebhanae!!!
Jibu hoja kwa hoja mkuu.

Hao watu waliojazwa propaganda za mtu aliyetaka aongee peke ake, media zimsifu wakati wote, wasaidizi wamtaje kila sentensi ndio ushahidi wa mambo makubwa aliyofanya?
 
Hata Chato iko Tanzania na kuna watanzania pia. Yaani asijenge chato kwakuwa ni kwao atasemwa. Alichofanya mwl kuitelekeza Butiama ndiyo sawa?
Mkuu, unajibu hoja gani? Kwani wapi nimelalamika yeye kujenga chato?
 
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k
Kweli kabisa umenena vyema.
 

Attachments

  • IMG_20200921_190239.jpg
    IMG_20200921_190239.jpg
    25.6 KB · Views: 1
Magu hajawahi kubana Matumizi.

Alichokifanya ni kuhakikisha anawabania pesa wengine ( hata kama ilikuwa ni haki yao ) ili wawe na Njaa kaliiii ) wamwabudu na kumlilia yeye tu.

FACTS ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1. Kuchota milioni 38 kwenda kumtoa Msigwa jela ili apate sifa wakati kama Rais ana mamlaka ya kutoa msamaha.

2. Kununua wabunge kibao wa upinzani na kurudia chaguzi ili kuwasimika wabunge wanaomtii. Kumbuka gharama za uchaguzi mdogo jimbo moja ni zaidi ya milioni 300.

3. Kukataa pesa za UNDP wakati wa uchaguzi mkuu ( ili kukwepa waangalizi wa kimataifa ) kumbe alijua ni nini alipanga kufanya.

4. Kuwalipa wabunge wa CHADEMA 19, wasio na sifa kikatiba ( hawa kama watakaa miaka 5, watatafuna zaidi ya bilioni 19 kwasababi ya tamaa zake za madaraka tu.

Wakati huo huo,

  • Kakusanya sana pesa kwa watu
  • Kakopa kuliko Kikwete miaka yote 10

Swali ni je, huyo mbana matumizi, pesa alikuwa anapeleka wapi ??

Maana,

  • Hakuajiri
  • Hakutoa annual increments
  • Hakuongeza hata mia ya mshahara
  • Pesa za TAZARA flyover ni msaada wa Japan, ubungo ni World bank, Ihungo ni michango ya watu plus Uingereza n.k

Nashukuru kwa kuweka ushahidi wazi kuwa hakuwa mbana matumizi, bali alikuwa anashurutisha tuamini kuwa ni mbana matumizi.
 
Elimu bure/bila malipo
SGR
Bwawa la umeme
Barabara
Bandari upanuzi
Viwanja vya ndege
Ununuzi wa ndege cash cash
Ujenzi wa vituo vya afya/hospitali
Ununuzi wa rada na meli
Mikopo vyuoni
Hostel za wanafunzi
Nk
Umasikini na ufinyu wa fikra unawafanya mataga wengi waone kujengewa miundombinu na serikali ni kama fadhila kwao yani kitu ambacho hawakustahili..kwa kifupi wanasiasa huomba kura ili wayafanye hayo so niwajibu wao kutekeleza maana fedha zinatoka kwa wananchi sio mifukoni mwao..ebu ficha ujinga wako.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenifurahisha, tukishamaliza kumzika hiyo Mfugale Tower ataitumia nani??
Airport inaenda kuota nyasi, na mabuibui!

Tukishamzika ule uwanja wa mpira Chato Stadium, usiokuwa na timu anautumia nani??

Ile 3 star hotel ya kufikia mawaziri na maraisi kumuona akiwa mapumzikoni itatumiwa na nani?? Hayo ni matumizi sahihi au ufujaji??

Unaitaje raisi, mawaziri na wasaidizi wao na misafara kuhamia Chato kwa miezi, ni kubana matumizi??

Hayo ndiyo matumizi yasiyo ya lazima!

Inaitwa ondoa boriti lako kwanza kabla ya kuondoa kibanzi kutoka jicho la jirani yako.

Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha!๐Ÿ˜…

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Back
Top Bottom