kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Rais Magufuli (RIP) hakupenda matumizi ya hovyo kabisa kwenye maisha yake ya uongozi. Hivyo, hata kwenye mazishi yake lazima tuzingatie matumizi ambayo yanaongeza gharama ambazo sio za lazima katika kupunsishwa kwake kwenye nyumba yake ya milele ili pesa hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa miradi aliyoiasisi.
Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.
Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.
Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.
Rais Magufuli alichukia sana matumizi yasio na tija, na wakati mwingine aliachana na sherehe za uhuru na mwenge ili aokoe hela zikatumike kwwnye miradi mingine.
Watanzania tusijekuambiwa maziko yake yalitumia mabilioni ya fedha, atasikitika sana huko aliko.
Upigaji usijeukarudi kwa kuanzia na ugongwa na mazishi yake.