johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
CAG Kichere amesema Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amekusanya zaidi ya sh bilioni 60 kutokana na kesi mbalimbali na fedha hizo hazijatumika kutokana na kukosekana kwa sheria na mwongozo wa namna ya kuzitumia.
CAG amelishauri Bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.
Ukinizingua Nitakuzingua!
CAG amelishauri Bunge kutunga sheria ya matumizi ya fedha hizi.
Ukinizingua Nitakuzingua!