marehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Msije Kuingia Mtegoni: Marehemu Hasemwi, Ukimsema Umemshiriki

    GTs, Kuna methali ya Kiswahili isemayo: “Marehemu hasemwi.” Kwa mtazamo wa utamaduni wetu wa Kiafrika na hususan wa Kitanzania, msemo huu una uzito mkubwa. Kumsema vibaya marehemu ni zaidi ya dharau—ni ishara inayoweza kufasiriwa kuwa ulihusika au ulishiriki katika kifo chake. Tangu kufariki...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Marehemu hataki kutulia inabidi Dereva na wananchi wamhimize atulie kwa vichapo

    Wakuu, Hivi hii kweli ni marehemu huwa anagoma au analeta shida kusafirishwa au kuzikwa eneo fulani eti hataki, maana najua tayari ni mfu inawezekanaje?
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Shajara za Marehemu Nangwanda Lawi Sijaona

    LEO SIKU YA KUZALIWA SIJALI ADAM SIJAONA Rafiki yangu Sijali Adam Lawi Nangwanda Sijaona kaniletea ukurasa mmoja wa shajara ya baba yake marehemu Mzee Lawi Nangwanda Sijaona ambayo aliandika, ‘’Baby boy is born at 4 pm.’’ Huyu mtoto ni Sijali Sijaona na tarehe yake ya kuzaliwa ni leo 20 June...
  4. M

    JamiiForums Tanzania CCM fikirieni namna ya kumuenzi Marehemu Kapteni John Komba

    Nimefikiria jinsi alivyotumika kuking'arisha chama kwa utunzi na nyimbo zake hasa katika nyakati ngumu za uchaguzi. Huyu nilianza kumshuhudia tangu enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Hata baada ya kufariki bado nyimbo zake zimetumika katika mikusanyiko ya chama na kwenye kampeni...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Izz al-Din al-Haddad achukua mikoba ya Marehemu Gaidi Mohamed Sinwar

    Kufuatia IDF kumuangamiza Mohammed Sinwar, Izz al-Din al-Haddad (pichani) amechukua uongozi wa tawi la kijeshi la Hamas. Israeli sasa hivi inamfatilia kwa nguvu zote ili imewaangamiza!! Al-Haddad (55) anaidhibiti Hamas katika Ukanda wa Gaza, na kwa mujibu wa vyanzo vya kijasusi, mtu huyo...
  6. R

    JamiiForums Tanzania CCM , IGP , Bashungwa msikilize Marehemu Magufuli halafu mjitafakari halafu mgeukie Gwajima muone kama ana kosa lolote

    Msikilize Magufuli, Rais Samia utakuwa umemuonea Gwajima kumbagaza kama ulivyofanya
  7. Manepesa

    JamiiForums Tanzania Leo nimemkumbuka rapa niliyemkubali marehemu DMX na jinsi alivyoteseka baada ya kuuza nafsi yake kwa shetani kwa ajili ya umaarufu

    Tangu udogoni ndie alikua rapa wangu pendwa kabisa karibu nyimbo zake zote nilikua nazijua kama si kuziimba Siku Moja nakumbuka nilisevu hela kidogo kidogo nilizokua napewa za shule nikaweza kununua kaset ya album yake ya mwaka 1998.. Anyway leo nimemkumbuka mwamba huyu..alie battle sana na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wakati nikiwa shule ya msingi tulikuwa na monitor wa ajabu sana(kwa sasa ni marehemu)

    Ninakumbuka nilikuwa nikifika darasani nalala juu ya dawati maana ilikiwa ni lazima kulala kama mwalimu hayupo na usipolala unaandikwa jina na kuna adhabu. Mimi pamoja na kulala nilikuwa naandikwa na ninachapwa fimbo na nilibaki na uchungu mno. Basi yule monitor aliniambia kama nataka asiwe...
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Nafuatilia msiba wa Msuya tangu juzi, mbona David Mathayo David hatajwi kwenye watoto wa marehemu

    Tangu juzi kuagwa kwa Mzee wetu mwendazake Cleopa Msuya pale Karemjee Hall mpaka leo hapo Usangi inapofanyika ibada ya mazishi, sijaona Mh. David Mathayo David akitajwa kama miongoni mwa watoto wa Mzee Msuya. Au wameamua kuuchuna kiaina?
  10. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Hayati David Msuya; Alikuwa Mwanachama CCM Asiye na Tabia za CCM

    Jana nimesikiliza kwa makini sana wasifu wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri mkuu marehemu Cleopa Msuya. Nilibaki mdomo wazi baada ya kusikia baadhi ya SIFA zake zikisemwa mbele ya Rais na viongozi wengine wa serikali na CCM. Nilivutiwa sana na kauli mbili ambazo zilionyesha...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi aifariji familia ya marehemu Charles Hillary

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa mkono wa pole kwa familia ya marehemu Charles Hillary, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo, tarehe 11 Mei...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Usife na marehemu wako

    Je, unajua kwamba unapowalilia wafu wako, unajililia wewe na sio wao? Unalia kwa sababu "umewapoteza", kwa sababu huna WAO kwa upande wako. Unafikiri yote yameishia kwenye kifo. Na unafikiri HAWAPO tena. Kwa hivyo ikiwa wafu wako wamekwenda, wako wapi? Ndio wameondoka, na sasa wako sehemu...
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Msiba wa Marehemu Carina umekuwa ndo Spotlight

    Hivi ni nani ambaye ametuvuruga akili na kukosa utu kiasi hiki? Ni nani ambaye anaweza kutumia japo 5% ya akili yake kutambua kuwa sio kila kinapaswa kuwa Spotlight mitandaoni? Ni mtu yupi ambaye anaweza kutoka mbele ya hadhara na kusemea hili? Dada yetu Carina alipoanza kuumwa, media...
  14. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Makete: Vijana wachoma moto Jeneza la marehemu wakidai kutokea kwa vifo tata kwa vijana wanaoenda kufanya kazi Dar

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya vijana katika kijiji cha Kilanji kata ya Kipagalo wilayani Makete mkoani Njombe wamechoma moto jeneza lililokuwa limebeba mwili wa marehemu Kasinde Sanga (28) aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akifanya kazi dukani kwa madai kwamba kifo...
  15. Azoge Ze Blind Baga

    JamiiForums Tanzania Kipi bora-Kumchangia mgonjwa au Marehemu

    Nipo nimekaa hapa nawaza Kwenye haya maisha kipi bora kumchangia mgonjwa ambaye amelala kitandani akipigania maisha au kumchangia marehemu aliyelala kwenye jeneza safari ya kaburini kwenye nyumba ya milele Hapa nina michango mingi ya rambirambi na kuna kila jumapili tunachanga kwa ajili ya...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Wazee na Wanachama wa Simba: Yanga wamezoea kubebwa kama Marehemu

    Wazee na Wanachama wa Simba wa Matawi mbalimbali Jijini Dar es salam, wamefanya Mkutano na Waandishi wa habari kuzungumzia sakata la kuahirishwa kwa Mchezo wa Derby ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga uliokuwa uchezwe Machi 8 mwaka huu.
  17. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Marehemu Magufuli angekuwepo leo Tanzania tungekua tunauza nguo zilizotumika (mitumba) nje ya nchi

    Siwezi kusema nausimanga uongozi wa sasa ila nazungumzia tu yale maono na utashi aliyokua nao marehemu. Aliwahi kusema katika hotuba zake huko nyuma kuwa kwanini Tanzania tusipeleke nguo za mitumba wakavae wazungu huko ulaya? Akasema Tanzania tutapanda treni za umeme wazaramo wakipigw picha...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, haya Mahudhurio hafifu ya Poti wangu Marehemu Profesa Sarungi Karimjee Hall ni kuwa tuko busy au tumemsusa au Chuki yetu kwa Bintiye ni chanzo?

    Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
  19. B

    JamiiForums Tanzania Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

    Mali za urithi Zina mitihani sana. Mapema tu,marehemu ana miezi miwili ugomvi ushaanza
  20. Magical power

    JamiiForums Tanzania Barua ya marehemu mama kwa mwanae - siku tatu baada ya kuzikwa

    BARUA YA MAREHEMU MAMA KWA MWANAE - SIKU TATU BAADA YA KUZIKWA!!! Mwanangu Mpendwa, Nataka ujue kwamba nilikufa kama mwanamke masikini wakati nina Mtoto kama wewe. Mwanangu, nilitaka kukubariki kabla sijafa, lakini sasa nimeenda na baraka zangu. Chai ya asubuhi, chakula cha mchana na...
Back
Top Bottom