Kuna mambo katika jamii yetu ya kitanzania huwa yananishangaza sana, baadhi ya mambo hayo ni haya:
1.Mtu anakwambia hafuatilii siasa, ila ukifika wakati wa uchaguzi, anaenda kupiga kura!
2.Miaka 60 ya uhuru bado tunakimbiza mwenge!
3.Mtu(mimi mwenyewe nikiwemo), ana bachelor, masters, PhD au...