BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Kufuatia Baraza Kuu la CHADEMA kutupilia mbali rufaa ya Wabunge 19 wakiongozwa na Halima Mdee, kauli za majibizano baina ya pande mbili zimeendelea kutolewa, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amewaambia waliofukuzwa kuwa waache mambo ya kihuni.
Awali Mdee alinukuliwa akisema kilichofanyika ni uhuni n ahata Mbowe anajua. Akijibu hoja hiyo Mbowe amesema: “Tumesikitika kuwapoteza wanachama 19, hatujafurahia lakini imebidi, maamuzi ya kuwafukuza yalifanyika tangu 2020 katika kikao cha Kamati Kuu.
“Baraza Kuu limekutana leo (Mei 11, 2022) na kutoa maamuzi ya mwisho, kura zimepigwa mbele yao na wameona kila kitu, waache mambo ya kihuni.”
Awali Mdee alinukuliwa akisema kilichofanyika ni uhuni n ahata Mbowe anajua. Akijibu hoja hiyo Mbowe amesema: “Tumesikitika kuwapoteza wanachama 19, hatujafurahia lakini imebidi, maamuzi ya kuwafukuza yalifanyika tangu 2020 katika kikao cha Kamati Kuu.
“Baraza Kuu limekutana leo (Mei 11, 2022) na kutoa maamuzi ya mwisho, kura zimepigwa mbele yao na wameona kila kitu, waache mambo ya kihuni.”