Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Nimesema siku zote huwa siwaamini wanasiasa. NI mara chache sana mwanasiasa ataongea kitu nimwamini, na siku zote wanasiasa wenyewe wananipa sababu za kusimama katika msimamo wangu wa kutowaamini. Generaly speaking, wanasiasa ni watu waongo.
Sasa leo sintasema mengi, bali nitwakumbusha tu alichosema Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula, kuhusu uraia pacha. Sasa muamue wenyewe ikiwa ninakosea ninaposema wanasiasa mara nyingi ni watu waongo
Kwa kuwakumbusha tu:
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema Serikali inalifanyia kazi suala la uraia pacha na kabla ya mwisho wa mwaka huu wa fedha, litakuwa limepatiwa ufumbuzi.
Mwelekeo mpya kwa uraia pacha
Balozi Mulamula alisema suala la diaspora kupiga kura linahitaji utaratibu na miundombinu, hasa kwa kutumia teknolojia kama zinavyofanya nchi nyingine zilizofanikiwa kwa kutumia mifumo ya kimtandao.
www.mwananchi.co.tz
Sasa leo sintasema mengi, bali nitwakumbusha tu alichosema Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula, kuhusu uraia pacha. Sasa muamue wenyewe ikiwa ninakosea ninaposema wanasiasa mara nyingi ni watu waongo
Kwa kuwakumbusha tu:
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema Serikali inalifanyia kazi suala la uraia pacha na kabla ya mwisho wa mwaka huu wa fedha, litakuwa limepatiwa ufumbuzi.
Mwelekeo mpya kwa uraia pacha
Balozi Mulamula alisema suala la diaspora kupiga kura linahitaji utaratibu na miundombinu, hasa kwa kutumia teknolojia kama zinavyofanya nchi nyingine zilizofanikiwa kwa kutumia mifumo ya kimtandao.