Kijana Wa Dar
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 215
Karibuni
Yale mambo yako umeachana nayo au bado unaendelea nayoNakumbuka mwaka 2021 mwezi wa pili nilichukiwa hadi na mama mzazi.Nilikataliwa hadi na baba , ndugu wote walinitenga kisa sikuwa na kipato.Nikawa namtumaini Mungu,nikaokoka maana nilikuwa nasali RC , huko ndio nikakutana na Neema ya Mungu.Niliota nifungue biashara sehemu na nilipoamka nikafanya hivyo kwa imani ,nikafunguliwa mpaka wote walionichukia wakaniangukia Mimi niwasaidie.Kuanzia hapo nilimtukuza Mungu maishani Kwangu
Mambo gani mkuu?Yale mambo yako umeachana nayo au bado unaendelea nayo
Halafu umepotea sana mzee academic performance,.
Amekuzawadia mikono na afya ya kuandika huu ufalaMimi Mungu hajanitendea chochote!
Mwambie huyo Mungu aichukue afya yake, aichukue na mikono huyo mbwa.Aliniepusha na ajali ya gari iliyoua woote kasoro mimi
Kwa sasa hatachukua. anasubiri ufahamu, utubu na kumgeukiaMwambie huyo Mungu aichukue afya yake, aichukue na mikono huyo mbwa.
Hata kule kuamka tu leo asubuhi, umeamka kwa uwezo wako tu wakati wengine hawakufanikiwa?Mimi Mungu hajanitendea chochote!
Hao watano wametosha na ushukuru hasa. Usitegemee na wa sita ataenda kwa ngoma peke yake akuache.Dahhhhh......
Sijui nilinusurika vipi kujikwaa, maana:-
1. Frora alikufa kwa ngoma
2. Amina alikufa kwa ngoma
3. Zawadi alikufa kwa ngoma
4. Neema alikufa ngoma
5. Juke alikufa kwa ngoma
Na lio nipo poa na nina afya njema kabisa.
Damu yangu ni group 0+
Kwa sasa hatachukua. anasubiri ufahamu, utubu na kumgeukia
Nikweli kabisa mkuu, ndio maana niliamua kuokoka na nimebakiza kuvuta bange na kunywa K-Vant pekee...😪Hao watano wametosha na ushukuru hasa. Usitegemee na wa sita ataenda kwa ngoma peke yake akuache.
Upo hai au umekufaMimi Mungu hajanitendea chochote!
DuhMwambie huyo Mungu aichukue afya yake, aichukue na mikono huyo mbwa.
uko wapi ukuu wake kwa hao waliokufa?Aliniepusha na ajali ya gari iliyoua woote kasoro mimi