Ni kwanini wazee waliozaliwa miaka ya 1950-1960 bado wana mambo ya kikoloni hadi leo

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Yaani hawa wazee hadi leo hii bado wana mambo yale ya

1. Kuchaguliana wachumba

2. Mpaka leo hii bado zile itikadi za vyama vingi wanaona vitaleta vita

3. Wagumu kubadilika kulingana na nyakati mpaka leo hii bado wanafata sera za Nyerere

4. Mtoto kama amemsomesha amekosa kazi wanaona ni uzembe wake mwenyewe

5. Zile itikadi za mtoto kujitegemea hawakabiliani nazo mpka awe na kazi nzuli

6. Wakizaa mtoto nje ya ndoa ni wagumu kuhudumia ila mtoto akifanikiwa wanataka awasaidie

Je shida nini hawa wazee ni wagumu kubadilika hadi leo hii bado wana itikadi za wakoloni?
 
Itikadi za kikoloni ndo nimerithi mimi sasa, full kuwakazia wajinga wajinga
 
Mimi nimepiigana VITA YA KAGERA
Tumempiga NDURI IDDY AMINI DADA

enzi hizo KIMARA YOTE PORI mm nilikuwa na HEKA 100 pale STOPOVER

halafu ukute wanamiliki NYUMBA katikati ya JIJI
Basi bana wanahifadhi mikolokolo kibao isiyokuwa na maana yaan akikutana dubwana lolote likamvutia kalibeba anakuwa mpaka wanaturithisha wajukuu zao hiyo tabia{kwakweli me ninayo hiyo tabia napenda kweli kuhifadhi mikolokolo mingi isiyokuwa na maana
 
Vijana wa kizazi hiki ni wavivu kupitiliza:
1. Shuka anafua mala moja kwa mwaka
2. Blanketi likitoka dukani halioni maji mpaka linachakaa
3. Kuoga mara moja kwa wiki
4. Nguo ya ndani kufuliwa Mara moja kwa wiki
5. Chumbani kwake ni vuruvuru kama pango la mbweha
6. nk (Tafadhali wazee wenzangu ongezeeni, maana ni mengi mnoo!!)
 
Vijana wa kizazi hiki ni wavivu kupitiliza:
1. Shuka anafua mala moja kwa mwaka
2. Blanketi likitoka dukani halioni maji mpaka linachakaa
3. Kuoga mara moja kwa wiki
4. Nguo ya ndani kufuliwa Mara moja kwa wiki
5. Chumbani kwake ni vuruvuru kama pango la mbweha
6. nk (Tafadhali wazee wenzangu ongezeeni, maana ni mengi mnoo!!)
Maelezo yako naona umetoka nje ya beat mkuu😅

Mleta mada kazungumza mengine nawe umeleta mengine😅
 
Yaani hawa wazee hadi leo hii bado wana mambo yale ya

1. Kuchaguliana wachumba

2. Mpaka leo hii bado zile itikadi za vyama vingi wanaona vitaleta vita

3. Wagumu kubadilika kulingana na nyakati mpaka leo hii bado wanafata sera za Nyerere

4. Mtoto kama amemsomesha amekosa kazi wanaona ni uzembe wake mwenyewe

5. Zile itikadi za mtoto kujitegemea hawakabiliani nazo mpka awe na kazi nzuli

6. Wakizaa mtoto nje ya ndoa ni wagumu kuhudumia ila mtoto akifanikiwa wanataka awasaidie

Je shida nini hawa wazee ni wagumu kubadilika hadi leo hii bado wana itikadi za wakoloni?
Kwasababu walizaliwa wakati wa ukoloni.
 
Yaani hawa wazee hadi leo hii bado wana mambo yale ya

1. Kuchaguliana wachumba

2. Mpaka leo hii bado zile itikadi za vyama vingi wanaona vitaleta vita

3. Wagumu kubadilika kulingana na nyakati mpaka leo hii bado wanafata sera za Nyerere

4. Mtoto kama amemsomesha amekosa kazi wanaona ni uzembe wake mwenyewe

5. Zile itikadi za mtoto kujitegemea hawakabiliani nazo mpka awe na kazi nzuli

6. Wakizaa mtoto nje ya ndoa ni wagumu kuhudumia ila mtoto akifanikiwa wanataka awasaidie

Je shida nini hawa wazee ni wagumu kubadilika hadi leo hii bado wana itikadi za wakoloni?
Wewe wakoloni umewajulia wapi?
 
Dingi angu yupo hvyo kuna siku home nilinyooga ile unanyoa pembeni tu nikachonga dadekiiii nilishine kinyama nikaenda kwenye harusi Kupitia Kadi ya dingi kesho saa 4 nilijikuta Nina kipara kuna wazee wakoloni Nyie
 
Yaani hawa wazee hadi leo hii bado wana mambo yale ya

1. Kuchaguliana wachumba

2. Mpaka leo hii bado zile itikadi za vyama vingi wanaona vitaleta vita

3. Wagumu kubadilika kulingana na nyakati mpaka leo hii bado wanafata sera za Nyerere

4. Mtoto kama amemsomesha amekosa kazi wanaona ni uzembe wake mwenyewe

5. Zile itikadi za mtoto kujitegemea hawakabiliani nazo mpka awe na kazi nzuli

6. Wakizaa mtoto nje ya ndoa ni wagumu kuhudumia ila mtoto akifanikiwa wanataka awasaidie

Je shida nini hawa wazee ni wagumu kubadilika hadi leo hii bado wana itikadi za wakoloni?
Ni maisha waliyoishi hivyo, zamani mtoto akizaliwa anakuzwa na Jamii hata ukifanya jambo baya uaadhibiwa na mtu yoyote, hata ukitaka kutumea kitu mtutu yoyote mkubwa wako anakutuma na unaenda
 
Tatizo nikwamba baada ya ukoloni tulichagua mwelekeo upi

@ urusi ,kwakua tu mwezake anamkataa Basi anaamua aaze kumpiga baada ya ukoloni tulibudi kuchagua mwelekeo wa fikra zakimaendeleo wa wazi tukachagua mwelekeo wakubumba bumba ......

Naolewako usiajiliwe mtoto wanyumba yatatu kaajiliwa mtaa huo kazi unayo
 
Back
Top Bottom