Kuna video wameweka background ya ule wimbo wa zuchu wa kampen... wanaonyesha barabara zilivyojaa maji imenikosha sanaHahaha wabongo siwawezi
Huyu hataguswa aliyejenga pale maana ndo wao kwa wao... Mayanga!Fly-over ya Mfugale
AhahahUkisikia hizo flyover zinavyotajwa utasema zipo 50 au zipo kila mkoa
Zimekuwa kama safina ya NuhuView attachment 1600526
Mungu ni mwema kutufumbua macho, Yale maendeleo ya vitu hali yake ndiyo hii.
Tunaipongeza serikali ya CCM kwa kutuletea maendeleo.