Katika maisha tunayoishi tunahangaika sana kutafuta pesa,furaha,mali,nk kila siku tunapoamka kila mtu kuna kitu anawaza kichwani mwake kuhusu kesho yake,tumetofautiana kimalengo na kimawazo kwasababu ninachokiwaza mimi kitokee kesho yangu n tofauti na chako na mwisho hayo ndio maisha.
Leo...