maisha

  1. sky soldier

    Ushuhuda: Leo nimekutana na kipanga jeuri wa darasani. Kweli hakuna uhusiano wa uwezo darasani na wa maisha halisi

    Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa. Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao...
  2. Ryzen

    Sehemu gani nzuri ya kuanzia maisha kati ya Dodoma na Babati?

    Wakuu habari, mimi ni mdau wa maswala ya ujenzi (civil engineer) nataka nifanye maisha ambayo kwa kiasi kikubwa yatakuwa yanahusiana na sekta ya ujenzi. Je, kati ya Dodoma na Babati ni mji gani utakuwa poa zaidi? Na je gharama za maisha kwa ujumla zikoje maeneo hayo. Pia kati ya miji hiyo...
  3. S

    Kama eneo uliko maisha magumu na biashara zako haziendi hamishia Chato. Huku Mambo Safi

    Miradi mikubwa inajengwa Chato. Rais anashinda Chato, Watendaji wa ngazi za juu wa kitaifa wapo Chato muda wote. Marais wa nchi ama viongozi waandamizi wa serikali wa mataifa mbalimbali wanakuja Chato kuonana na rais wetu. Wakati huo huo Chato imetangazwa kuwa kitovu cha utalii, na usafiri wa...
  4. Mema Tanzania

    Elimu ni ufunguo wa maisha

    "Elimu ni ufunguo wa maisha". Moja ya msemo ambao tumekuwa tukiusikia tangu awali. Ni kiasi gani msemo huu umeakisi maisha yako baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu?
  5. Naja naja

    Maisha magumu sana ila nina imani ipo siku nitafanikiwa

    Maisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa. Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya...
  6. Lord Denning

    Kwa msiojua, Awamu ya pili ni ya kuyatengeneza maisha yako baada ya kustaafu

    Baada ya Nyerere kufanya makosa ya kutojiandaa na maisha baaada ya kustaafu, waliomfuata walianza kujitengenezea maisha ya kustaafu katika awamu zao za pili. Suala hili halijawai kubadilika tangu awamu ya pili hadi sasa. Kwa sasa Tanzania, Habari ya mjini ni Chato, kivuko ni Chato, vyuo ni...
  7. martinezstavo

    Ni vipi kama haya maisha tunayoishi ni ndoto

    Asalaam wakuu, Kama binadamu nimekuwa najikuta nateseka sana kuishi kwenye hii dunia hasa kwenye jamii yangu ambayo inanifanya nipate huduma muhimu tu kama binadamu Kwa muda mrefu sijui imeanza lini lakini huwa nafikili ni vipi kama haya maisha yote ninayoishi ni ndoto Katika maisha yangu...
  8. M

    Shirika la Taifa la Bima ya maisha (NIC) lipeni fedha za wateja wenu

    Shirika hili linakiuka kwa kiasi kikubwa mikataba na makubaliano walioafikiana na wateja wao hasa ihusuyo malipo ya fedha za bima zilizoiva. Jambo hili si zuri na halikubalikiki hata kidogo maana linatengeneza taswira ya ulaghai kwa wateja wenu ukizingatia hili ni shirika la umma. Mamlaka...
  9. Nanyaro Ephata

    Mambo kumi ya kuzingatia 2021 ili uishi maisha yako

    Kwaheri 2020 karibu 2021 Awali ya yote tuna kila sababu ya Kumshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa neema na Rehema.Mwaka 2020 umekuwa na changamoto lukuki,katika sekta zote,Kiuchumi,kiafya,kijamii na kisiasa.Lakini bado Mungu wetu ni mkuu sana! Tunafahamu kuwa tuna ndugu,jamaa,marafiki ambao...
  10. F

    Wasomi wote ambao tunapitia maisha magumu zawadi ya mwaka mpya wimbo - Nimelimiss Bumu

    habari wadau wote wenye changamoto za kimaisha.. Vijana wengi kitaani tunapitia hali ngumu.. hii imenifanya niimbe wimbo wa kutuliwaza nimelimiss Bumu.. naombeni maoni yenu wapi nimekosea na wapi nimepatia heri ya mwaka mpya
  11. The Dictator

    Hebu pata picha ingekuwa wewe unaishi maisha wanayoishi hawa wenzetu wenye uhitaji maalumu

    Mungu atukuzwe kwa yote aliyoyaumba kwa kuwa hata vilivyo dhaifu huviimarisha kwa namna yake. Hebu mfano wewe uliye na kila kiungo mwilini vikiwa timilifu katika utendaji kazi; siku moja inatokea kubadilishana uzoefu na walionyimwa labda kuona au kusikia mfano; {mfano si kwa nia mbaya} -...
  12. T

    Mpaka sasa sielewi hatma ya maisha yangu ni ipi

    Siamini macho yangu kama inafika kipindi mtu unafilisika mpaka mawazo, yaani hujui nini cha kufanya ili maisha yasonge mbele lkn ukweli mtupu haya ndo ninayopitia Mtanzania mwezenu. Historia yangu kiufupi ni hivi, Mimi ni muhitimu chuo kikuu (UDSM) kada ya ualimu wa sanaa (Art), na kama mjuavyo...
  13. KENZY

    Vichocheo vya maisha vinazungumza nini juu ya kusudio la uhai?

    Ni dhahiri kabisa pasipo uhai hakuna maisha!,kwa maana maisha ni uhai. Lakini lipo jambo moja tata kuhusu uhai!. Nalo ni kusudio la uhai. Tukijaribu kuangalia mfano wa vitu vidogo ambavyo vimetengenezwa na binadamu bila kusita vitu hivyo utapata kusudio lake.. lkn jambo lakushangaza kitu...
  14. Samia atosha tukutane2030

    Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

    Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana. Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge. Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au...
  15. K

    Viongozi waandamizi jifunzeni kujitegemea, mnawatesa wasaidizi wenu kuwatumikisha kinyume na kazi zao

    Kiongozi mwandamizi hana gari binafsi yakutembelea amekalia kutumia gari ya umma kufanya shughuli za Kiserikali na shughuli za familia bila kujali masaa ya kazi kwa madreva na wasaidizi wengine. Ninaishi na mzee mmoja hapa anatumia gari ya Serikali kama yake binafsi, kila sehemu anapokwenda...
  16. M

    Maisha ughaibuni

    .
  17. Red Giant

    Chama cha Walimu kuna haja ya kuwapa semina wanachama wenu kuhusu masuala ya pesa na maisha baada ya kustaafu?

    Kwakweli walimu wana tatizo kuhusu suala la pesa. Wengi hawajui masuala ya pesa na uwekezaji. Utapeli wowote wa kipesa lazima uwahusishe waalimu kwa wingi. Ila sijajua kama ni sababu ya wingi wao au wanapigika kirahisi? Vyovyote vile, kuna tatizo. CWT andaeni semina za kuwafundisha watu wenu...
  18. comte

    Wanawake kumbe wana tabu hivi katika maisha na mahusiano na wanaume?

    mnawezaje kubadili kiumbe wa mwenyezi Mungu
  19. B

    Chagua kuishi maisha ya kifahari watoto wasiende shule. Kula bata sana watoto wasipate madarasa, wananchi wakusaidie

    Haya ndio maisha watu wanajiamulia, kabla ya mwaka kuanza tunajua tuna watoto wangapi wanahitaji kwenda shule ila vyumba vya madarasa havitoshi na vinahitajika vingapi ili vitoshe. Tunasakwa mtaani raia tunachangishwa ili tujenge madarasa. Wapo barabarani wanakula maisha, wanatembelea magari ya...
Back
Top Bottom