Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Habari zenu,
Waswahili husema wendawazu ni kufanya jambo ulilofeli awali kwa namna ileile lakini ukitegemea ushindi.
Watu wengi Afrika wana bidii ya kutafuta fedha au maisha lakini maisha yenyewe hawayaoni. Afrika wananchi hurogana ili tu kuipa furaha mioyo yao ya wivu.
Haijalishi umesoma au hujasoma, haijalishi umezaliwa mjini au kijijini.
Kama unaishi maisha yasiyo na furaha na magumu basi pigia tu mstari kuwa tayari umesharogwa na ukarogeka. Huu ndio ukweli ambao wengi hawaupendi kuusikia.
Hata maandishi matakatifu yamekiri kuwa kuna uchawi. So ukiona unapinga kuwa hakuna uchawi basi wewe ni kafiri.
Ukiona umevurugwa hujui nini chakufanya basi pigia mstari kuwa tayari umesharogwa.
Waswahili husema wendawazu ni kufanya jambo ulilofeli awali kwa namna ileile lakini ukitegemea ushindi.
Watu wengi Afrika wana bidii ya kutafuta fedha au maisha lakini maisha yenyewe hawayaoni. Afrika wananchi hurogana ili tu kuipa furaha mioyo yao ya wivu.
Haijalishi umesoma au hujasoma, haijalishi umezaliwa mjini au kijijini.
Kama unaishi maisha yasiyo na furaha na magumu basi pigia tu mstari kuwa tayari umesharogwa na ukarogeka. Huu ndio ukweli ambao wengi hawaupendi kuusikia.
Hata maandishi matakatifu yamekiri kuwa kuna uchawi. So ukiona unapinga kuwa hakuna uchawi basi wewe ni kafiri.
Ukiona umevurugwa hujui nini chakufanya basi pigia mstari kuwa tayari umesharogwa.