maajabu

  1. C

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Mwamposa

    Nipo kwa sebule naangalia TV, siamini ninachokiona mchumba wangu anaombewa na mwamposa apate mchumba, sielewi jamani au Mimi simfai, yaani nimechoka hadi akili, sijui nikamuulize kwanini kaenda kuombewa wakati mimi ameshanipata, sielewi FROM FACEBOOK 😁
  2. Baraka21

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Aliyejenga soko la Kariakoo alikufa 10 Julai

    Alifariki 10 Julai na Soko limeungua 10 Julai
  3. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya tops world in growth in new electricity connections

    Dah! Yaani Kenya kuja kuifikia mbona ni safari. ======== Kenya has been ranked as the top country in the world in reducing the population with no access to electricity, pointing to the impact of the State’s focus on rural areas for nearly a decade. The Energy Progress Report for 2021, a...
  4. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Watu wenye uwezo wa Ajabu Duniani

    JIONEE WATU WENYE UWEZO WA AJABU NA KUSHANGAZA Je, unafahamu kuwa watu wenye nguvu za ajabu kuliko uwezo halisi wa kibinadamu wapo? Ni kweli watu hao wapo na wengine wanaishi hadi sasa. Ni watu ambao wana vitu vya ajabu kama uwezo, nguvu na kuwa imara madhubuti. Wafuatao ni baadhi ya watu hao...
  5. Fundi Madirisha

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya serikali ya CCM, Kiongozi wa Wilaya UVCCM ni Mtumishi wa Umma

    Ninakishangaa sana chama ambacho ndicho kinatakiwa kua kinara katika kutii katiba ya nchi lakini kinafumbia na kukumbatia mambo ya ajabu kabisa. Ni uvunjaji wa sheria na katiba ya nchi kuona kiongozi wa chama cha siasa tena mwenyekiti wa Wilaya kabisa bado ni mtumishi wa umma tena ni mkuu wa...
  6. Ben Zen Tarot

    JamiiForums Tanzania Ijue milango mitano(5) ya fahamu na maajabu yake

    Katika milango ya fahamu 5 ya binadamu ambayo ni 1. Masikio 2. Ulimi 3. Macho 4. Ngozi 5. Pua Mlango wa fahamu wa sikio ndio mlango pekee unao chelewa kufa(kutofanya kazi) baada ya binadam kufa. [emoji117] Binadamu akifa sikio huendelea kufanya kazi yaan marehem ""HUENDA"" huendelea kusikia ...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa

    "Katika mazishi Wazee Chato walimuomba Rais Samia mkoa wakidai ni ahadi ya mtangulizi wake.kwa hekima akasema ataangalia vigezo.Kama Mbunge Mstaafu jirani Muleba Kusini najua vigezo havipo.Wazo halitekelezeki. Wazee jirani na sisi naamini tutapewa nafasi kushauri"Anna Tibaijuka --- Anaandika...
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya RC Chalamila kushupalia ulevi kinyume na sheria

  9. chaUkucha

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya mdudu Mende

    1) Mende anaweza kuishi kwa wiki nzima bila ya kuwa na kichwa 2) Mende anaweza akazuia pumzi zake kwa dakika 40 bila ya kufa 3) Mende anaweza kutembea zaidi ya maili 3 ndani ya saa moja 4) Ina aminika kuwa Mende alikuwepo tokea miaka milion 280 iliyopita 5) Kuna zaidi ya aina 4,000 za mende...
  10. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kufika Afrika Kusini? Jionee maajabu ya Mungu

  11. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania Gobless Lema: Tanzania inaiuzia Transfoma Msumbiji kwa hela nusu ua hela walonunulia India

    Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa fedha 2016/2017. MHE. GODBLESS J. LEMA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru. Naomba kabisa nianze bila kusahau na suala ambalo tulikutananalo Arusha na Mheshimiwa Waziri naomba anisikilize sana. Mheshimiwa Mwenyekiti...
  12. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Huko Songea kuna maajabu gani mpaka Wasomali wakimbilie huko?

    Habari wanabodi! Katika taarifa ya habari ya leo wakati natazama hapa ITV kuna gari kubwa imepata ajari kule Handeni watu wa tatu wamefariki. Polisi wamefanikiwa kuwakamata wasomalia kama 15 waliokuwa wakisafiri wanaelekea Songea kwenye makaa ya mawe, sasa hapa ndio najiuliza huko Songea kuna...
  13. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Kusajili Domain yako kupitia UCC ya UDSM unapaswa ujaze fomu kwenye word document

    Kuna mambo fulani ukiyafikiria unaishia kuhuzunika tu. Ukienda University Computing Center ya University of Dar es Salaam, kama unataka usajili Domain Name kupitia UCC, unapaswa kujaza form iliyoko kwenye word format, kisha uwatumie. Ati hizi ndio taasisi za serikali zinazopaswa kutuondoa...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya ziwa la mifupa ya binadamu India

    Mabaki ya watu wanaokadiriwa kuwa 600-800 yalipatikana kwenye eneo hilo Juu katika milima ya Himalaya nchini India, ziwa lililo kwenye bonde lenye theluji, limetapakaa mamia ya mifupa ya binadamu. Mto Roopkund uko umbali wa futi 16,500 juu ya usawa wa bahari chini ya mteremko mkali wa Trisul...
  15. Mawematatu

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya kuchukua salary advance

    Tangu utaratibu wa kuchukua salary advance uanze kwenye benki zetu Kuna jambo Moja ajabu sana. Hakuna anayependa ijulikane..watu wanajisevia kimya kimya. Yaani kwenye hili ama wanaojua ni benki pekee. Hakuna anayefanya kiwazi wazi Sasa kasheshe iko kwenye kuona balance mwisho wa mwezi. Mimi...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya orodha ya tisa kwenye maisha ya mwanadamu

    MAAJABU YA TEBO YA TISA KWENYE MAISHA YA MWANADAMU 9×1=9 miez ya kuishi tumboni 9×2=18 umri wa kutambulika mtu mzima kwa baadhi ya nchi 9×3=27 miaka ya ukomavu na binadam kijana anaweza anza kunitegemea kila kitu makazi,malazi na mengneyo 9×4=36 miaka ya kuweza muda kulea( kuanzisha au...
  17. Heisenberg

    JamiiForums Tanzania Ijue Historia ya mchawi mmoja toka huko Kilombero - Morogoro

    Dunia ina mambo Mengi sana na mengine usiyoyajua Nikiwa Maeneo hayo ya kilombero Niliwahi kuona uchawi ambao sitasahau. Kuna kijana mmoja aliombwa aangue nazi kutoka kwenye mnanzi wa mzee fulani, Jamaa akavaa kamba miguuni akapanda akashusha nazi za kutosha. Wakati anaendelea na hararakati...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya awamu ya Sita: Hotuba za mama zinapokonga nyoyo za watu

    Mabibi na mabwana pongezi nyingi zimfikie mama Samia rais wetu. Ama kwa hakika kajua namna za kukonga nyoyo za watu wake. Mama amekuwa muwazi. Sote sasa tunajua angalau tulipo na tunakoelekea. Mama anaeleweka na mama anasomeka. Mama hana makeke, mama hana kuomba omba kuombewa. Mama anajua...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Tunda la Parachichi

    Mbegu ya Parachichi ina muonekano kama Mtoto akiwa ndani ya mji wa mimba Kama ilivyo kwa mimba, Parachichi huchukua miezi 9 hadi kukomaa kwake Parachichi husaidia afya ya Mama Mjamzito na ukuaji wa mtoto aliye tumboni Parachichi husaidia kupunguza uwezekano wa mtu kupata Saratani ya Kizazi
  20. B

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Furaha ya CCM ni kwa Nyalandu kuondoka CHADEMA na si kujiunga na CCM?

    Mabibi na mabwana kumekuwa na shamra shamra nyingi hasa kutokea kwa wale makada nguli wa chama mboga mboga kuwa bwana Nyalandu katoka Chadema. Ajabu ni kuwa furaha zimeelekezwa kwenye kuwa bwana huyu asiyekuwa na jina ndani ya Chadema, ametoka Chadema wala si kuwa kajiunga na CCM! Maajabu...
Back
Top Bottom