OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,716
Tozo ya miamala imepiga mpaka kumbukumbu zimeruka
Hahaaa hawa watu am sure wanaumwa
Under 23
Baba bray kumbe ni U23
Yaani Reliant Lusajo anamzidi umri Mtakatifu wa Kusini? Kweli maajabu hayataisha nchi hii.
Huyo Lusajo katolewa muongozo ila Metacha kafunikwaKikoti si ni Mzee wa Busara!
Metacha naye ni U23 kweli? Mbona hili taifa linacheza na hisia za watu hivi.
Reliants Lusajo naye eti ni U23.
Mwenda,Kikoti na Mgore jeHuyo Lusajo katolewa muongozo ila Metacha kafunikwa
Funika kombe mwanaharamu apiteMwenda,Kikoti na Mgore je