kuuza

  1. Masanja Lweyo

    JamiiForums Tanzania Nataka kuingia kwenye biashara ya vitenge niwe nachukua mzigo Kariakoo naenda kuuza mikoani

    Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavojieleza. Mimi nataka kuingia mwenye biashara ya vitenge niwe nafata mzigo Kariakoo then naenda kuuza mikoani. Kwa ambaye anauzoefu kuhusu biashara anambie challenges za hii biashara.
  2. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Magufuli: Wapinzani wakishinda watavunja-vunja madaraja na kuuza scraper!

    Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo. Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura. Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo...
  3. size 96

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kuni

    Kama nilivyo eleza juu apo naomba kujuza kuhusu biashara ya kuuza kuni kwa Dar vibali changamoto na soko lake kiujumla.
  4. Majigo

    JamiiForums Tanzania Biashara ya samaki

    Wakuu kwa mtu yeyote mwenye ujuzi kuhusu biashara hii hasa samaki wa maji baridi huko Dodoma. Soko lake vipi lina upinzani mkubwa? Mimi niko Mbeya. Nawasilisha kwa salamu na shukrani kwenu! WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJUA KUHUSU BIASHARA HII MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA YA SAMAKI...
  5. Offshore Seamen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Biashara ya ngono inavyofanyika baharini

    Biashara ya ngono imekuwa moja ya biashara kongwe tangu enzi na enzi duniani. Tanzania tumezoea kuona biashara hii ikifanyika kwenye makasino,bar,club,kambi za uvuvi na maeneo mbalimbali ya mji. Katika eneo la bahari ya Hindi sasa biashara hii imekuwa ikifanyika kati ya wafanyakazi wa meli...
  6. chakii

    JamiiForums Tanzania GE2020 Bernard Kamilius Membe: Nitagombea Urais wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo

    Jana niliombwa na leo nimekubali rasmi kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo. Huu ni wakati muafaka kwangu wa kushiriki katika mazungumzo na vyama vingine kama CHADEMA ili tusimamishe "KISIKI CHA MPINGO" kimoja!. ======= WASIFU...
  7. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yafaulu kuuza maparachichi kwa mataifa 42, mwendo wa mbele kwa mbele, wakulima wetu hoyee

    Hii nchi tunapambana sio mchezo, shukrani za dhati ziwafikie wanaotafuta haya masoko maana hali inazidi kunoga kwa wakulima wetu. Kenyan avocado exports hit a record high in the first half of 2020 with more than 58,400 tonnes sold to 42 countries, thanks to the Covid-19 pandemic. Data from the...
  8. beth

    JamiiForums Tanzania Sudan: Waziri wa Sheria asema Sheria zote zinazokiuka Haki za Binadamu zitafutwa

    Waziri wa Sheria wa Sudan, Nasredeen Abdulbari amesema nchi hiyo itazifuta Sheria zote ambazo zinakiuka Haki za Binadamu Sudan imetangaza mabadiliko mbalimbali ikiwemo kufuta Sheria ya Uasi na adhabu ya kucharazwa viboko. Pia, wananchi wasio Waislamu wameruhusiwa kunywa, kuagiza na kuuza vilevi...
  9. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza na kununua biashara

    Leo nataka tujadili kidogo kuhusu biashara ya kuuza na kununua biashara.Sio bidhaa wala sio huduma bala ni biashara ndo inauzwa na kununuliwa. Kwa wengin wanaweza kufikiri kwamba hili ni jambo jipya lakini hili jambo lipo sana na katika mfumo mkubwa basi tunauza na kununu kitu kinaitwa HISA.Leo...
  10. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Vituo vitano vyafungiwa, vyafutiwa leseni kwa kuuza mafuta juu ya bei elekezi

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imevifutia leseni za uuzaji wa mafuta vituo vitano, kwa makosa ya kuficha, kutouza na kuuza mafuta juu ya bei elekezi huku ikotoa onyo kali kwa wauzaji wa nishati hiyo wanaojaribu kufanya hujuma na kukiuka maagizo ya Serikali. Akizungumza...
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Picha: Wajue baadhi Wabunge Mashujaa wa CHADEMA waliokataa kuuza utu wao, wamo walioahidiwa hadi Tsh bil 1

    Kumbuka kwamba hawa ndio wabunge waliobambikiwa kila aina ya kesi za kutunga, wametukanwa matusi ya kila aina na wamedhalilishwa ndani ya bunge huku Spika akichekelea lakini wamesimamia kile kilichowapeleka hadi mwisho wa safari , heshima waliyojijengea itaendelea kudumu milele. Tunamuomba...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Serikali kuwasaka wafanyabiashara wanaoficha mafuta au kuuza mafuta juu ya bei elekezi

    WAZIRI wa Nishati, Dk Medard Kalemani ametoa siku saba kuanzia jana kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) na Wakala wa Kuagiza Mafuta kwa Pamoja kuwasaka wafanyabiashara wanaofi cha mafuta au kuuza mafuta juu ya bei elekezi na kuwachukulia hatua za kisheria. Akizungumza...
  13. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

    Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa. Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni...
  14. Bhbm

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Ninaomba kujuzwa wanajf wenzangu, je ni nafaka aina gani zinaweza kuwa na soko zuri hapa mjini Dar? Na je ni mtaji kiasi gani naweza kuanzia nao? Natanguliza thanks. WADAU WANAOHITAJI MIONGOZO KUHUSU BIASHARA HII IFAHAMU BIASHARA YA MAZAO YA CHAKULA Haijalishi watu ni masikini kiasi...
  15. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Kwa zaidi ya miaka 20 haijawai kutokea soko la hisa la Dar (DSE) kushindwa kufanya biashara ya hisa kama ilivyotokea tarehe 5, hakuna kuuza wala kunun

    It’s highly unusual for a 20 year+ established Stock Exchange to have a trading volume of 0 - a whole trading day without a single share being traded. Not even a cent! One for the financial history
  16. D

    JamiiForums Tanzania Onions Suppliers from Tanzania

    Natokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu. Asante
  17. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Mark Zuckerberg aja na kitu kizuri kinaitwa Facebook Shops. Hii itatufaa sana, kila mtu atakuwa huru na biashara yake jinsi ya kuuza

    I just announced that we're launching Facebook Shops today – the basic idea is that any small business can easily start a shop to sell things directly across our apps. If you visit someone's shop, you'll be able to see that small business's story, see their featured products, and buy them in our...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa zamani wa Ndanda Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na Spika Ndugai

    Mbunge wa zamani wa Ndanda, Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na mh Spika Ndugai naye ameitikia wito. Mwambe amesema ataukaribisha kwa moyo mweupe ushauri au uamuzi utakaotolewa na Spika wa bunge. Amesema sasa anarejea rasmi bungeni kumalizia muda wake wa ubunge kwa kipindi kilichobaki...
  19. cadey

    JamiiForums Tanzania Kujiandaa kupeleka bidhaa nje, unahitaji kujua mambo haya

    Watu wengi wamekuwa wakisikia nje ya mipaka ya Tanzania kuna soko kubwa la bidhaa mbali mbali zinazozalishwa nchini Tanzania lakini hawajui nini cha kufanya ili kupata wanunuzi walio nje ya Tanzania na ni hatua gani zinatakiwa kufatwa ili kuweza kuuza bidhaa nje ya nchi. Kujiandaa kupeleka...
  20. Fildaus

    JamiiForums Tanzania Kutoa Mchanganuo bora wa kuuza Biashara ya Gas Tanzania

    Hello kama inavyoeleza hapo juu changamkia fursa hii ya kutoa Mchanganuo wa kukuza na uendeshaji wa biashara ya Gas za majumbani. Hapa tanzania zawadi nono itatolewa kwa mshindi
Back
Top Bottom