kuuza

  1. Erythrocyte

    Picha: Wajue baadhi Wabunge Mashujaa wa CHADEMA waliokataa kuuza utu wao, wamo walioahidiwa hadi Tsh bil 1

    Kumbuka kwamba hawa ndio wabunge waliobambikiwa kila aina ya kesi za kutunga, wametukanwa matusi ya kila aina na wamedhalilishwa ndani ya bunge huku Spika akichekelea lakini wamesimamia kile kilichowapeleka hadi mwisho wa safari , heshima waliyojijengea itaendelea kudumu milele. Tunamuomba...
  2. Miss Zomboko

    Serikali kuwasaka wafanyabiashara wanaoficha mafuta au kuuza mafuta juu ya bei elekezi

    WAZIRI wa Nishati, Dk Medard Kalemani ametoa siku saba kuanzia jana kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) na Wakala wa Kuagiza Mafuta kwa Pamoja kuwasaka wafanyabiashara wanaofi cha mafuta au kuuza mafuta juu ya bei elekezi na kuwachukulia hatua za kisheria. Akizungumza...
  3. Determinantor

    Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

    Najua mmepitia mengi magumu, mmenyanyaswa, mmefungwa, mmeumizwa lakini hatimae miaka mitano ya mateso ya kusimamia na kuitetea haki inafikia mwisho. Hongera sana sana. MUNGU atawalipa. Mnaingia kwenye kipindi kingine kigumu zaidi, this time watatumia Tume, Polisi na hata Green Guards, kuweni...
  4. Bhbm

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Ninaomba kujuzwa wanajf wenzangu, je ni nafaka aina gani zinaweza kuwa na soko zuri hapa mjini Dar? Na je ni mtaji kiasi gani naweza kuanzia nao? Natanguliza thanks. WADAU WANAOHITAJI MIONGOZO KUHUSU BIASHARA HII IFAHAMU BIASHARA YA MAZAO YA CHAKULA Haijalishi watu ni masikini kiasi...
  5. Return Of Undertaker

    Kwa zaidi ya miaka 20 haijawai kutokea soko la hisa la Dar (DSE) kushindwa kufanya biashara ya hisa kama ilivyotokea tarehe 5, hakuna kuuza wala kunun

    It’s highly unusual for a 20 year+ established Stock Exchange to have a trading volume of 0 - a whole trading day without a single share being traded. Not even a cent! One for the financial history
  6. D

    Onions Suppliers from Tanzania

    Natokea Kenya nataka kuanza biashara ya vitunguu natafuta mtu atakaye nisaidia kupata supplier wa vitunguu kutoka Tanzania kwa bei nafuu. Asante
  7. RAKI BIG

    Mark Zuckerberg aja na kitu kizuri kinaitwa Facebook Shops. Hii itatufaa sana, kila mtu atakuwa huru na biashara yake jinsi ya kuuza

    I just announced that we're launching Facebook Shops today – the basic idea is that any small business can easily start a shop to sell things directly across our apps. If you visit someone's shop, you'll be able to see that small business's story, see their featured products, and buy them in our...
  8. J

    Mbunge wa zamani wa Ndanda Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na Spika Ndugai

    Mbunge wa zamani wa Ndanda, Cecil Mwambe amesema ameitwa jijini Dodoma na mh Spika Ndugai naye ameitikia wito. Mwambe amesema ataukaribisha kwa moyo mweupe ushauri au uamuzi utakaotolewa na Spika wa bunge. Amesema sasa anarejea rasmi bungeni kumalizia muda wake wa ubunge kwa kipindi kilichobaki...
  9. cadey

    Kujiandaa kupeleka bidhaa nje, unahitaji kujua mambo haya

    Watu wengi wamekuwa wakisikia nje ya mipaka ya Tanzania kuna soko kubwa la bidhaa mbali mbali zinazozalishwa nchini Tanzania lakini hawajui nini cha kufanya ili kupata wanunuzi walio nje ya Tanzania na ni hatua gani zinatakiwa kufatwa ili kuweza kuuza bidhaa nje ya nchi. Kujiandaa kupeleka...
  10. Fildaus

    Kutoa Mchanganuo bora wa kuuza Biashara ya Gas Tanzania

    Hello kama inavyoeleza hapo juu changamkia fursa hii ya kutoa Mchanganuo wa kukuza na uendeshaji wa biashara ya Gas za majumbani. Hapa tanzania zawadi nono itatolewa kwa mshindi
  11. YEHODAYA

    Serikali kwa sasa ijikite kwenye kuuza bidhaa nje ya nchi zaidi na kupunguza matumizi kwenye miradi ya maendeleo

    Kutokana na janga hiki la Corona serikali ijikite kwenye uuzaji bidhaa nje kwa bidhaa kuanzia vyakula nk Vikwazo vyote viondoldwe upesi kodi ,ukiritimba nk viondolewe kwa spidi ya haraka ili Ku encourage mtanzania yeyote ana yetaka kuuza chochote auze nje na yeyote wa nje anayetaka kununua...
  12. J

    Msaada: Naombeni kujua bei ya hii gari inatakiwa kuuza bei gani

    Habari wakuu na poleni kwa changamoto za Covid-19. Nipo kazini hapa na boss Ritesh, ana gari yake ya passo ka-import mwaka jana mwishoni ili aiuzie kampuni hii ambayo yeye ni afisa manunuzi. Sasa kampuni imeyumba kiuchumi, na Ritesh mkataba umeisha anatakiwa arudi India soon, hivyo kanipa kazi...
  13. cantona55

    Fursa ya kuuza magazeti kwa kilo

    ......
  14. Analogia Malenga

    Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

    Iringa. Wajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania wamemuondoa madarakani meya wa manispaa hiyo, Alex Kimbe. Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika...
  15. S

    Ni taratibu gani za kuuza kiwanja kilichowekwa kama dhamana zinazotakiwa kufuata baada ya mkopaji kushindwa kulipa deni?

    Naomba kuuliza iwapo mtu amekopa fedha na akaweka kiwanja kama dhamana na kukawa na mkataba wa maandishi kuwa akishindwa kulipa deni basi kiwanja alichoweka Kama dhamana kitachukuliwa na kuwa mali ya mkopeshaji na ambachi atakiuza ili kulipia deni. Kwa mfano,hata kama mkataba unamruhusu...
  16. Masokotz

    Jiajiri kwa kuwa dalali wa kuuza Magari

    Je unafahamu kwamba Watanzania wanaagiza Magari kupitia mitandao?Je unafahamu kwamba pia wapo watanzania ambao wanauza magari yao ambayo ni used in Tanzania?Je unafahamu kwamba hii ni fursa kwako wewe kuingiza kipato cha ziada kwa commission Jifunze leo kuhusu namna biashara hii inavyofanya na...
  17. K

    Natengeneza na kuuza chakula cha Samaki

    Habari wadau wa JF, Karibuni mjipatie chakula cha samaki chenye virutubisho vya kutosha. Simu: 0767900396 au 0782391954. KARIBUNI sana.
  18. K

    Kazi ya kuuza vipodozi kwa mdada

    Hi to you all. Kuna mtu anatafuta dada wa kazi ya kuuza duka la cosmetics. Umri 20 to 30 awe anaishi Tanga. Ambaye yuko interested ani PM Mawasiliano yake for more details. Asanteni.
  19. Guacamole

    KIKUU wataacha lini kuuza bidhaa feki?

    Wakuu, Hawa jamaa nimewachoka sasa. Mara ya kwanza niliagiza mzigo mwaka jana, ilikua ni Flash ya 128 GB kwenye Limited Offer. Cha kushangaza ilidumu kwa siku 5 tu, ikawa haifanyi kazi tena kwenye computer. Chengine kinachoboa zaidi ni muda unaochukua mpaka kupata bidhaa yako. Mali yako inakaa...
  20. DocJayGroup

    Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

    Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama msanii huria, fedha yote atakayoipata katika kazi zake za sanaa itakuwa ni yake. Alivyokuwa chini ya...
Back
Top Bottom