Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai
Hizo ndizo sera zenu kwa wananchi wasioelimika. Kila unapokuja uchaguzi mnawalubuni.Kuchagua upinzani ni kuchagua vita, sisi Watanzania tunaipenda Ccm ina Amani
Huu ni ushahidi tosha wakishapelekwa mbele ya ICC hapo mwaka kesho. Ccm endeleeni kulopoka sie tunakusanya ushahidi"Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Baraza la Robert wa ubeligiji
Kwa umaskini upi ulionao!Hiki chama ndio source ya umaskini Afrika
Sio umasikini tu Bali hata ujinga. Ukiona ujinga wa watanzania wengi hasa wanaomshabikia magufuli na Ccm ujue ni Chama hiki kimesababisha kwa asilimia 99Hiki chama ndio source ya umaskini Afrika
Mimi si maskini, Nina sehemu ya kulala Dar na usafiri na nina miaka 33 tu. Sema tu Watanzania wengi ni maskini na mafukara. Hali hii imesababishwa na CCM.Kwa umaskini upi ulionao!
Huyu ndo yuko mwenye team ya Meko ya kuhakikisha bunge linajaa wana CCM na wanabadirisha katiba ili meko aongoze Tanzania hadi atakapokufa!!!Kumbe ni huyu dhaifu, hata anachokisema ni dhaifu pia
Kuna wakati unajuta kuzaliwaTanzania unakuwa na kiongozi kamaJob Ndugai."Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612
Basi wafundishe wenzio jinsi ya kupata pa kulala na usafiri kuliko kulalama!Mimi si maskini, Nina sehemu ya kulala Dar na usafiri na nina miaka 33 tu. Sema tu Watanzania wengi ni maskini na mafukara. Hali hii imesababishwa na CCM.
Huyu jamaa siyo mzima kichwani."Ikulu haiachwi ni “mwiko”, huwezi kuuza ‘mama mkwe’, tuliachiwa na Mwalimu Nyerere na Abeid Amani Karume na chama chetu @ccm_tanzania hatuwezi waachia watu hawaeleweki" -Job Ndugai View attachment 1568612