CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Leo wakati nawaza kuhusu vipindi kadhaa vya television Tz nikajikuta napata aidia ya kipindi kizuri sana ambacho naamini kikisimamiwa vizuri basi channel husika itatazamwa sana.
Lakini nataka hili wazo niliuze kwa mmiliki wa TV, channel au media yoyote ambayo inarusha Maudhui kwa Kiswahili Tanzania kwa njia ya picha mjongeo.
Kama nikikosa watu wa kukubaliana nao hilo wazo nitaliweka hapa jukwaani kama lilivyo Ila nitaomba jamii forums wanilinde ili watakaokopi walipe halo baadaye.
Nawakaribisha.
Lakini nataka hili wazo niliuze kwa mmiliki wa TV, channel au media yoyote ambayo inarusha Maudhui kwa Kiswahili Tanzania kwa njia ya picha mjongeo.
Kama nikikosa watu wa kukubaliana nao hilo wazo nitaliweka hapa jukwaani kama lilivyo Ila nitaomba jamii forums wanilinde ili watakaokopi walipe halo baadaye.
Nawakaribisha.