Nyalikanho
Member
- Sep 17, 2017
- 53
- 24
Wadau naombeni ushauri
Nimepata wazo la kumfungulia duka la urembo mke wangu ila nataka akajifunze kufanya makeup na kusuka location ya kujifunza = Kariakoo (kama nitaambiwa location nzuri zaid itapendeza) then akishakua vizuri ndo nimfungulie duka uku mtaani(Kigamboni). je, hii biashara iko njema ?
Uzuri na changamotot zake zipoje?. Maana mshahara wa mwezi ni ngumu kuwa na maendeleo ya haraka ikiwa ndo nautegemea kwa kila kitu.
Nimepata wazo la kumfungulia duka la urembo mke wangu ila nataka akajifunze kufanya makeup na kusuka location ya kujifunza = Kariakoo (kama nitaambiwa location nzuri zaid itapendeza) then akishakua vizuri ndo nimfungulie duka uku mtaani(Kigamboni). je, hii biashara iko njema ?
Uzuri na changamotot zake zipoje?. Maana mshahara wa mwezi ni ngumu kuwa na maendeleo ya haraka ikiwa ndo nautegemea kwa kila kitu.