kuomba

  1. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM kuomba tone tone ni kama kunyonya damu kwa mgonjwa

    Bila shaka wewe na mimi tumekuwa ni sehemu ya Ushuhuda wa Kauli mbali mbali za Viongozi wa Chama Wakijinasibu kuwa Chama Chetu ni Chama Tajiri na Chenye Wanachama Wengi. Halikadhalika tumeshuhudia chama chetu kikiwa ni sehemu ya Mnufaika mkuu wa Ruzuku ya Uendelezwaji wa Maendeleo ya Chama, si...
  2. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    Wadau vipi kuomba bank statement inahitaji kulipia..? Kama kuna kulipia ni shingapi..?
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Musiba: Kama kuna mtu yeyote nilimkosea, naomba anisamehe. Ule ulikuwa ni ujana

    Wakuu, Inaonekana kama Musiba baada ya kukatwa na CCM akili zimeanza kumrudi. Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari ameomba radhi watu wote ambao aliwakosea kipindi hicho na akaongeza kuwa kipindi kile alikuwa kijana tu. Nadhani msamaha huu unawahusu sana wakina Fatma Karume na wengineo...
  4. fufumajeusi

    JamiiForums Tanzania Usithubutu kuomba mkopo Bank of Africa (BOA)

    usije sema sikusema, jamaa yangu kaa aplai loan alikua na immediate cause kwenye mfumo wao ,mpaka sasa wiki imepita kwenye mfumo wao inasoma complete disbursed ila kwenye account hakuna pesa imeingia ,akiwapigia hawatoi ushirikiano wowotee.
  5. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Je uki disco chuo kikuu ukatumia cheti Cha diploma kuomba kazi na ukapata kazi je utakatwa mkopo wa loan board kwenye mshahara

    Je uki disco chuo kikuu ukatumia cheti Cha diploma kuomba kazi na ukapata kazi je utakatwa mkopo wa loan board kwenye mshahara
  6. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maryprisca Mahundi apiga goti mbele ya wajumbe wa mkutano UWT akiwashukuru wajumbe na kuomba kura

    Naibu waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Mhandisi Maryprisca Mahundi amepiga goti mbele ya wajumbe wa mkuato mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania UWT mkoa wa Mbeya akiwashukuru kwa kumuamini na kumchagua kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, huku akiomba ridhaa kwa wajumbe hao kumuamini na...
  7. adriz

    JamiiForums Tanzania Msaada : Changamoto nimekwama hapa kwenye kuomba mkopo HELSB naisovu vipi hii ?

    Moja kwa moja.. Namuombea dogo mkopo kwenye kipengele Cha kuweka namba ya Napa karibia siku ya Tatu inasema hivyo , nimemwambia anitumie barua ya Napa yenye hiyo namba labda alivyonitumia alikosea , akanitumia nimehakikisha ila bado sasa sijajua tatizo ni Nini ? Naomba Msaada wakuu..
  8. S

    JamiiForums Tanzania KERO Responded NACTVET watusaidie tupate AVN number kwa uharaka tunashindwa kuomba Chuo

    Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabili mpaka muda huu na nimeshindwa kupata msaada wowote kutoka kwa watu wa nactevet nje kuonjesha juhudi za Hali na mali...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa taratibu za kuomba kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania

    Heshima zenu Wasomi wa jukwaa hili. Naomba kuelekezwa hatua kwa hatua za kufuata kwa ajili ya ku apply kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania,kwani nina mtoto wangu amemaliza kidato Cha sita mwaka huu wa 2025. Naileta kwenu hoja hii ili mnipe maelekezo na njia zinazotumika ku apply...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vyuo vingi vya Kati vinagoma kufuta usajili wa Mwanafunzi kama anataka KUSITISHA au KUOMBA PENGINE

    Vyuo vingi nchini viliyo chini ya NACTEVET haswa hivi binafsi havitaki kutoa haki ya mtu kufuta usajili na kujiunga na chuo kingine. Serikali iingilie kati hili suala, watu wanakaa mtaani kwa kushindwa kuomba pengine kwa sababu wamekuwa admitted kwenye chuo kingine
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Thomas Materi achukua fomu ya kuomba uteuzi kupitia CCM kugombea Udiwani Kata ya Terrat, Simanjiro

    Thomas Materi amejiunga rasmi na mchakato wa kugombea Udiwani Kata ya Terrat kwa kuchukua fomu ya kuomba uteuzi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Joel Biton Silungwe achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea udiwani kata ya chipaka, Tunduma

    Joel Biton Silungwe amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea udiwani kata ya chipaka halmashauri ya mji wa tunduma Mkoani songwe.
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ubunge sio ajira? Mbona wenye ajira ndio wanao kuomba wasio na ajira hawaombi

    Vijana wasio na ajira mbona hawajitokezi kuomba ujira UO? Mbona wenye ajira ndio wanao omba ubunge? Kasoro king msukuma ndo Hana ajira maana Hana elimu
  14. P

    JamiiForums Tanzania Msaada physical adress NaPA kwaajili ya kuomba mkopo bachelor

    Jamani naomba msaada kwa anaye elewa, napataje reference numba ya physical adress kwaajili ya kujaza olams heslb
  15. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Abuubakari Ally (Boka) amejitokeza kuomba ridhaa jimbo la Kigamboni

    Jimbo la Kigamboni lililokuwa likishikiliwa na hayati, Dkt. Faustine Ndugulile limeanza kuwaniwa na watia nia wa Chama Cha Mapinduzi ambapo leo hii Juni 28, 2025 Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Dar es salaam kwa chama hicho, Abuubakari Ally (Boka) amejitokeza kuomba ridhaa hiyo. Soma Pia...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Catherine Magige achukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia CCM, Arusha

    Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Catherine Magige amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Catherine amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumamosi, Juni 28, 2025...
  17. Setfree

    JamiiForums Tanzania Afadhali ushike jembe ukalime, kuliko kuomba sala hii

    Utapoteza muda wako bure ukisali hivi: "Bikira Maria Mtakatifu Mkingiwa dhambi ya asili, Mlinzi wa Taifa letu. Utuombee." Sala hiyo haina mashiko kwa sababu zifuatazo: Kibiblia, hakuna sehemu inayoonyesha kuwa Bikira Maria amepewa jukumu la kuwa mlinzi wa taifa lolote. Mungu pekee ndiye...
  18. cutelove

    JamiiForums Tanzania Mrejesho baada ya kufika Dar usiku na kuomba mwenyeji anipokee kwa dharura

    Jana nilikuwa safarini kuja Dar na bahati mbaya mwenyeji wangu niliyekusudia kunipokea simu yake haikupatikana Kwa kuwa mimi siyo mwenyeji saaana,kupitia hapa jf niliomba kupata msaada wa mtu kujitokeza anipokee maana ningefika usiku sana Hata hivyo nashukuru sana kwa wenyeji kujitokeza kwenye...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kenya:Hivi polisi wanafikiria kuomba msamaha ni jambo rahisi wakishatenda

    Sio Kenya tu hata Tanzania ni jambo rahisi kukanusha mpaka waziri leo wa fedha kusema yale magunia yaliyo wekwa watu yenye chapa ya tanzania kuwa yalitupwa baharini. Hivi unawezaje kujibu majibu rahisi kama hayo. Sasa Kenya baada ya kuona mada imekuwa ngumu polisi anaomba msamahaa yani kesi...
  20. kingphisher

    JamiiForums Tanzania Nimerudi tena kuomba kazi

    Wakuu kama kazi za ofisini bado hazipikani, basi naombeni hata za bandarini. Nimeingia ajira portal kuangalia nafasi za kazi, nimetoka huko nduki. Naombeni kazi, wale ma agents wa bandarini, sikieni basi hili ombi langu. Msinichoke lakini. Naombeni mnisaidie hata namna ya kupata kazi za...
Back
Top Bottom