Computer4Sale Nauza laptop kwa lengo la kujipatia mtaji

Computer4Sale Nauza laptop kwa lengo la kujipatia mtaji

Kuna siku nilikuwa nimekoma kifedha nikauza smarti yangu lak 2 nikapata hasara ya laki nne.simu niliinunua dukan lak 6 tangu siku hiyo nilijifunza kutokuuza kitu.Maana vifaa ya elektronik ukiuza n hasara tele hamna faida.
Ni kweli kabsa, ila kuna mda unakuwa hauna budi Mkuu, inakubidi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom